Jamani wanaojua tabia wa wahabeshi mnijuze yaan( wenye asili ya ethiopia) ndo wanaitwa wahabeshi.kuna msichana mmoja niko nae na mahusihano nataka km mambo yakienda poa nioe kabisa
Jamani wanaojua tabia wa wahabeshi mnijuze yaan( wenye asili ya ethiopia) ndo wanaitwa wahabeshi.kuna msichana mmoja niko nae na mahusihano nataka km mambo yakienda poa nioe kabisa
Jamani wanaojua tabia wa wahabeshi mnijuze yaan( wenye asili ya ethiopia) ndo wanaitwa wahabeshi.kuna msichana mmoja niko nae na mahusihano nataka km mambo yakienda poa nioe kabisa
ikiwa ni feminine society, usithubutu. Utalea watoto wasio wako, kama ni feminine wana tabia kama watusi...akiwa katika danger days anamtafuta mtusi/mhabeshi mwenzake anamkaza mchana ili mimba ikiingia mchana mlango unafungwa. Siku mtoto akizaliwa anafanana naye wewe unajidanganya kuwa mama-mtusi/mhabeshi wana damu kali.