Wasichana wa JF ambao hamjaolewa


tatizo hapa inakuwa ni fear of the unknown!binadamu ni wagumu kukubali na kukabiliana na mabadiliko!!alieachika bado anaweza kuonyesha upendo mkubwa tu atakapoweza kupata second chance!!!!
 

Asi-generalise kiasi hicho. Yapasa aangalie waliachana ktk mazingira gani, ushauri huo wa Dena Amsi ni upotoshaji mkubwa.
 

Usipotoshe watu ndugu yangu. mimi nimeacha mke na nikaoa miaka miwili sasa, tuna mtoto na tunaishi kwa raha mstarehe japo ilikuwa ndoa ya kikatoliki. Mzee malecela ameoa mke aliyeachika, mbona wanaishi vizuri tu. Mke wangu mimi ilikuwa mkikwaruzana tu anajifungia ndani. uwe ulikuwa nje huingii tena ndani hadi uite majirani au ndugu zake. kama mpo ndani atakimbia kufunga milango na yeye kujifungia chumbani. nje huwezi kutoka na chumbani huingii. Wanawake aina hiyo hata kumi nitawaacha
 



Dena hujanijibu bado hilo swali hapo juu........
 
Halafu nimegundua wanawake wanapenda wanaume waliooa na kuacha
 
Dena hujanijibu bado hilo swali hapo juu........

PM Hapa si kwamba mwanaume kamuacha mwanamke ni mwanamke ndo amesababisha na anajua sababu kumbuka kule mwanzo nilieleza kwanini alimuacha?? unakumbuka lakini???
 
The finest ukiachika na mke mkubwa uni PM...

i can c a new chat room here...
 

Sijampoteza mtu utakaloambiwa changanya na zako hujui hilo?? Kwani wewe uko kama upepo kila unachoambiwa unafata bila kupima je ufanye au usifanye???
 
PM Hapa si kwamba mwanaume kamuacha mwanamke ni mwanamke ndo amesababisha na anajua sababu kumbuka kule mwanzo nilieleza kwanini alimuacha?? unakumbuka lakini???

Hivi DA, ukiambiwa uchague uwe mpango wa nje wa mtu au uolewe na mwanaume aliemwacha mkewe wa kwanza, JE WEWE UTACHAGUA NINI?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…