Wasichana msimuige binti huyu

Wasichana msimuige binti huyu

mademu wanaovunga high class %a kubwa wanabakia loaming about
 
Unanikumbusha mbali sana!! mama mmoja alikataa bintiye asiolewe na rafiki yangu eti maskini,leo jamaa anafundisha university na kapata scholarship usa,binti bado anauza sura sumbawangu! tuweni makini,hakuna maskini wa kudumu!!
Hii nimeipenda hakuna maskini wa kudumu nilishasema mabinti angalieni uwezo wa akili ya mtu,then forecast,sema tatizo mabinti wengi wanataka fedha haraka haraka,mwanaume uwe na kazi nzuri,gari,simu kali nk,anyway for passing time watu wanaweza ku pretend,but for the future jamani wadad cha msingi ana elimu na maono/future plans....
 
She is a stupid......
Huyo mwanamke hakumpenda huyo jamaa.
Ila sasa kaona jamaa ana mwanamke mwingine ndio inamuuma.
Na pengine anataka kuaribu tu uhusiano wa huyo mume na huyo mke basi.

Akae nae mbali sana, shenzi type woman. mara nyingi makosa yao usingizia wengine ili waonekane wapo innocent
 
She is a stupid......
Huyo mwanamke hakumpenda huyo jamaa.
Ila sasa kaona jamaa ana mwanamke mwingine ndio inamuuma.
Na pengine anataka kuaribu tu uhusiano wa huyo mume na huyo mke basi.

Akae nae mbali sana, shenzi type woman. mara nyingi makosa yao usingizia wengine ili waonekane wapo innocent

Ndo wewe au another Somoe?
 
uwiiiii pole yake mrembo jamani namuonea huruma maisha ni safari ndefu hauwezi ukajua future ya mtu alipokuwa anapenwa alijiona yeye tu ndo yuko duniani doonh ajifunze kutokana na makosa akipata mtu mwingine now hope atakuwa anajua nini maana ya upendo
 
Back
Top Bottom