That's lovely.They don't care as long as Washington DC is safe
Protect your homeland , even if it means harming others.
That's lovely.They don't care as long as Washington DC is safe
Only in ur small imaginary worldHiyo strategy itafeli! Sasa hivi kila silaha inayoingia Ukraine kutoka US na NATO iko kwenye target ya Russia force zinalipuliwa kama kama kawaida! Na kwa hili Russia iko makini sana.
😀😀Yani agombane na wateja wake wakubwa kisa Putin,halafu hizo bidhaa zake ataenda kumuuzia nani?
Hili la kutunga sheria kutaifisha mali zote za Urusi duniani linaweza kutuletea vita kubwa sana (WWIII) pamoja na kelele nyingi za Uingereza kuishikiza NATO kupambana directly na Urusi na kuongeza vikwazo zaidi.
Urusi anapesa nyingi sana nchi za Magharibi USA tu kama 650bn USD.
Hiyo LLL siyo issue kubwa kivile sababu USA angepeleka silaha hizo anyway. Isaidia makampuni yake makubwa ya silaha, kuuza silaha zao za kizamani, mkopo mkubwa kwa Urusi utakaoifanya iwe na leverage kubwa kwenye serikali ya Ukraine.
Brother acha matusi, hoja haipigwi rungu rather prove him wrong with factTaira kweli ww ivi elimu yako imekusaidia kweli
Viongozi gani wa Russia hao walioanzia Ukraine.Hujui hata Ukraine historia yake, Kiev ndipo Russia ilipoanzia Viongozi wengi, Oligarchs wana asili mbili za Urusi na Ukraine.
Somalia, Iraq, Syria, Libya, Lebanon zote hazitawiliki. Unalinganisha na Russia. Kuna utani hapa.
Hatutaki UN inayochangiwa kwa kiasi kikubwa na nchi moja. Na hilo ndio tatizo kubwa ktk kitenda haki. Inabidi ifumuliwe na kusukwa upya na nchj zote zilipe fees iliyo sawaTunaweza kuchangia angalau 40% ya bajeti ya UN ili makao makuu yawe Dar Es Salaam?! Kumbuka china alipoomba kufidia tu gap la mchango wa US kwa kataasisi kamoja tu WHO alikunja mbawa, haya fikiria UN bila mchango mkubwa wa kibajeti Marekani je nani ataweza kutoa hizo pesa?!
Leo tumethibitishiwa hii ngoma inakwenda beyond October,sasa lile swali lako la May 9 atahutubia nini nadhani majibu yake yanazidi kukorogeka zaidi
Kazi iliyopo si ndogoLeo tumethibitishiwa hii ngoma inakwenda beyond October,sasa lile swali lako la May 9 atahutubia nini nadhani majibu yake yanazidi kukorogeka zaidi
Hapo sasauchumi wao unaruhusu ?
Pale unampomsikitikia Ukraine kubeba mzigo mkubwa wa deni kwa ajili ya kujitetea na kulinda Nchi yake lakini ukashindwa kuuona mzigo mkubwa wa deni la Nchi yako ambao umeubeba mabegani kwako,au umesahau kama nchi yako ina deni ambalo hadi vitukuu vyako vitakuja kulilipa?Kwa hiyo sheria usifikiri Ukraine anapewa silaha bure! Ukraine itaingia kwenye shimo la madeni kiasi kwamba deni hilo litawatesa Waukreni vizazi hata vizazi.
Wakat wa WW2 sheria hilo ilipitishwa kuisaidia Soviet kumpiga Hitler wa Ujerumani US ikaipa silaha Soviet iliwachukua miaka 61 kumaliza kulipa deni.
Asikudanganye mtu,US haitoi kitu bure!
Zelensiky akisaini mkataba huo ameiuza Ukraine.
Viongozi gani wa Russia hao walioanzia Ukraine.
Wengi, ilikuwa nchi moja. Gorbachov Fuatilia wengine wote.Viongozi gani wa Russia hao walioanzia Ukraine.
Trying to make sense to f....... nonsense.Brother acha matusi, hoja haipigwi rungu rather prove him wrong with fact
Yawe Tandale kwa Mkunduge ama Chato.Dunia inakwenda kuchanji kabisa na dunia ili ibaki sehemu iliyostaaribika, itabidi umoja wa mataifa ufumuliwe kabisa na kusukwa upya na makao makuu yasiwepo Marekani
Unaweza kukuta afande Swila ndio anaelezea hapo.Ni "
Ni "silaha" siyo " "siraha"
ChatoYawe Tandale kwa Mkunduge ama Chato.
Jiwe aliiwa mpaka mungu, wakasema Mungu ndo amshukuru jiwe na sio jiwe kumshukuru Mungu. Mara jiwe ni zaidi ya Yesu na Muhammad, kwa kweli kifo chake hakikunishtua wala kuniumiza hata kidogo.Lazima watu wafe ili heshima iwepo. Hata Jiwe ilibidi afe utukufu wa Mungu uonekand
Silaha zinauzwa mikataba inaingiwa kwa kigezo cha misaadaMmarekani anafaidika na hii vita kwa namna zoote