Washindi wa WatsUPTV African Awards 2016

Washindi wa WatsUPTV African Awards 2016

Kumbe Aje ndo ngoma ya kwanza ya kiba eeehh.Hahahahaa acha tucheke tu.mwenzao kazizungusha vbaya tena kwa mwaka wa4 mfululizo
 
Shughuli kutoa ngoma mpya kwa kiba sasaaa hapo ndo ninapo cheka miyeeee,haya na show zetu za ndani ya pub
 
Hahahha mi hua Nacheka tu.Kumbe mmekubali wenyewe tangu jamaa anaimba muziki hyo AJE ndo kaimba Eeeeeehhh na zingine ilikua uharo tu.Sasa mwenzenu Mondi huko duniani unaendea mwaka wa4 mfululizo anakinukisha tu.Muda mwingine muwe mnakubali kuwa chini ili mpate mipango ya kupanda juuu.Bila kuwasema na ule uchafu sijui Lupela,mara mwana Dsm,mara sijui kina cheketua kua mlikua mnacheza tu leo mkaenda kutengeneza video nzuri mngetokaaa
We jamaa utakua , unawashwa si bure, nani kasema ali aje ndo kaimba, hapa tunasema ...tuache ubogasi hawa wote vijana wa KITANZANIA, wanapopata mafanikio kimtaifa ni hadhina yetu sote , kama watanzania ...so we need to respect them as our ICON, all of them ......

akifanya vizuri dimond tumpongeze akifanya vizuri , kiba sote tumpongeze , lengo nikuwamotivate zaid ..maana they deserve kw kile wanachofanya
 
naona mnaumia , sana jamaa kuchukua tuzo na ndo maana ukamfanyia figisu hata picha yake haukuiweka , thanks kwa mods wameona unafiki wako....unasahau jamaa wote ni watanzania na wameshinda kimataifaa

Tena jamaa kasimama peke yake na kachukua tuzo.....
Ningekuwa mnafiki nisingemuweka kabisa kwenye list ya washindi. Ningesubiri team yake wamuweke.
 
ALI KIBA ( 2 Goals )
  • best African RnB video
  • best East African Video
DIAMOND PLATINUMZ ( HAT TRICK and 2 Assists )
GOALS

  • best African Music of the Year
  • best African Male Video
  • best African Collabo Video
ASSISTS
  • best African New Comer Video( Harmonize Simba Mtoto )
  • best African Video Director ( GodFather )

 
collabo kumbe zinasaidia samtaimu, hongera kiba, one man army

mkuu...!
Hapa Collabo ilimsaidije Huyu mzee wa HAT TRICK?
3 AFRIMAWARDS ( nominated song UTANIPENDA )
au kwenye huo wimbo alimpa Collabo huyu K wenu?
eghse.PNG
 
Hahahahaha eti jeshi la mtu mmoja ina maana mmesahau msemo wa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu ? Team kibakuli buana hahahahahahahaha ila siyo kesi si tunachoangalia nani kabeba tuzo nyingi cjui featuring au man army hatuelewi sisi 5 AWARDS FOR WCB hivi kiba hana mpango wa kuwa na label au hatoweza kuongoza wengine maana yy tu kujiongoza ktk videos kashindwa hahaha hahaha (natania tu)
 
Best African Male Video- Kidogo
Best East African Video- Aje

Sasa hapo napata ukakasi kwanini Kidogo iizidi Aje katika video bora Africa lakini inashindwa kuizidi Aje katika video bora Africa mashariki? Kwani Kidogo pia si inatoka East Africa?
Embu niwekeni sawa ,hivi inakuaje Kidogo inakuwa wimbo bora Africa lakini si wimbo bora Africa mashariki?
 
Best African Male Video- Kidogo
Best East African Video- Aje

Sasa hapo napata ukakasi kwanini Kidogo iizidi Aje katika video bora Africa lakini inashindwa kuizidi Aje katika video bora Africa mashariki? Kwani Kidogo pia si inatoka East Africa?
Embu niwekeni sawa ,hivi inakuaje Kidogo inakuwa wimbo bora Africa lakini si wimbo bora Africa mashariki?
Cha kuelewa hapo ni kuwa kura ndiyo zinaamua na wapiga kura wametaka iwe hivyo ukitaka kufuatilia tuzo za kiafrika utaumiza kichwa bure
 
Upo sahihi kabisa. Hata mimi sioni uzuri wowote wa huo wimbo
Hhaaha ya kaisari mpe kaisari, nyimbo mbovu wakati imebeba tuzo mbili? tena ya best rnb n.k acheni chuki bwana hv umenoti hapo kwa simba wenu hawezi one man show? bila kina aka na psquare asingeshinda
 
Hhaaha ya kaisari mpe kaisari, nyimbo mbovu wakati imebeba tuzo mbili? tena ya best rnb n.k acheni chuki bwana hv umenoti hapo kwa simba wenu hawezi one man show? bila kina aka na psquare asingeshinda
Nyimbo mbovu
 
Back
Top Bottom