WASHINDI TUNZO MIAKA 10 YA JF

Si deception tu,kuna wengi sana

Mkuu usiutathimini huu uzi seriously,

Dogo simply alitaka watu wajue kuwa yeye ni underground bora hakuna cha ziada
Wabongo bhana
Hampigi kura
ulalamishi mwingi
Kapitie uzi halafu utaje undetground aliyepata kura
Kutajwa me imekuwa DHAMBI
Mbona ulalamikii wengine
 
Hiyo na 17 member mbumbumbu/kilaza kuna watu watakata rufaa kwa nini hawakushinda wakati wanaamini wao wenyewe ni vilaza hakuna mfano. Ila naamini HAMY-D anasherehekea ushindi na kweli anastahili
 
Majungu mengi ngoja nifute hiyo ili nione mnalalamikia nn

Kura hamjapiga ila kelele nyingi km kasuku + generator
Sishangai ulichojaribu kufanya, kwani kazi kubwa ya Bitoz ni nini kama sio kujipaisha....haya ona mfano hii iliyokaa kitaalamu zaidi, Bitoz ::post 1464, likes:529 ,ratio: 2.7, Mtaalamu123 :post147, likes:123,ratio: 1.2.....hapo ukiwa ume join Aug 27,2015 ikiwa mimi ni Oct 15, 2015 (fair comparison), tafsiri yake ni kuwa umepost mengi wakati machache ndio yamepata appreciation wakati Mtaalamu123 nina almost like moja kwa kila post moja, unawezaje kujiita underground bora, sio kwamba nahitaji hiyo award (ukizingatia hata sio award kiuhalisia) ila najaribu kuonesha kwa mfumo wa JF huhitaji kupiga kura wakati numbers zipo, ni suala la hesabu tu kama ligi za mpira, no ugomvi!
 
Sishangai ulichojaribu kufanya, kwani kazi kubwa ya Bitoz ni nini kama sio kujipaisha....haya ona mfano hii iliyokaa kitaalamu zaidi, Bitoz :ost 1464, likes:529 ,ratio: 2.7, Mtaalamu123 ost147, likes:123,ratio: 1.2.....hapo ukiwa ume join Aug 27,2015 ikiwa mimi ni Oct 15, 2015 (fair comparison), tafsiri yake ni kuwa umepost mengi wakati machache ndio yamepata appreciation wakati Mtaalamu123 nina almost like moja kwa kila post moja, unawezaje kujiita underground bora, sio kwamba nahitaji hiyo award (ukizingatia hata sio award kiuhalisia) ila najaribu kuonesha kwa mfumo wa JF huhitaji kupiga kura wakati numbers zipo, ni suala la hesabu tu kama ligi za mpira, no ugomvi!
Mkuu kilichofanyika ni kura tu wala sio KITAALAMU....sikuwataja watu Fulani ili wagombee kipengele Fulani sababu kelele zingejaa badala ya watu kupiga kura
NASHANGAA MNANISAKAMA BILA SABABU YA MSINGI

Chuki hazijengi....Anzisha thread yako basi watu wapige kura zen ubebe lawama

Eti nimejipaisha!!! Naona chuki nyingi sababu naamini "mti wenye matunda ndio upigwa mawe"
 
Back
Top Bottom