Washili Chadema Imeshawashtukia


Ndallo nahisi jana umelala Mrina kwa nini usitumie lugha nzuri kuleta habari mkuu.
Kapumzike kwanza na unywe maji mengi labda itakusaidia.
 
Namoba nisahihishe kidogo,si sawa kuwaita viongozi wa kabila zima vizee kwa kosa la mtu mmoja anayeshindwa kutumia akili yake.Inashangaza kuona kuwa ushabiki tu wa chama unatupoteza.Kwanza hakuna udhibitisho kuwa wazee wa kimila wamemzuia yeyote kufanya kampeni,hizo ni propaganda tu za kisiasa.Tusiwatukane viongozi wa Meru.Lema anaweza kwenda kufanya kampeni sehemu nyingine.Kwani lazima iwe Meru.Waachieni Wakazi wa Arumeru jimbo lao.
 
jibu tuhuma za kwa nini lema alifanya uhuni na kusababisha fujo msibani

Tuthibitishie wewe tuhuma hizo. Ukitilia maanani kuwa Vasco da Gama alikuwepo hapo, kwa nini Mh Lema asikamatwe wakati anafanya hizo fujo?
 
Ndalo lugha uliyotumia siyo nzuri ukizingatia wazee hawa wamesha kanusha kukutana tendwa na wakaahidi kufanya kikao leo ili watoe tamko la nini cha kufanya pengine wakaamua kufikisha mahakamani tendwa...basi tusubili tamko lao ndiyo tuwalaumu au tuwapongeze ikumbukwe tuko kwenye kampeni ccm wanatumia njia yoyote kupunguza kura za chadema tuepuke kucomment kwa kukurupuka..
 

Basi washindwe na walegee!
 
hata bila hao wazee,lema hatumii busara kwenye mambo ya msingi
Mkuu akili zako ziko miguuni??? Wewe si ukaandamane Ubungo na wana magamba wenzio kumpinga JJ Mnyika!!!!!!!!
 
Kumbe Lema anawanyima usingizi Wameru?

una uhakika na ulichoandika?hapa ungesema Lema anawanyima ccm usingizi lkn si kabila zima!si busara kuita vizee ungetumia lugha nzuri tungeelewa pia, Nxt time tafuta mtu muelewa akufanyie editing
 
Crashwise,uliyoyasema ni kweli.Kimsingi Ndallo amekurupuka!
 
Mkuu jana ulilala Shivaz au Picnic? Tumia lugha nzuri asee isije ikakurudi. Washili ni real deal, kama hauamini Kamuulize Kimaro(aliekuwa Mbunge Vunjo kwa ticket ya CCM), au waulize wale wazungu wa kule doli.

Kama kweli uko Arumeru embu nenda Akheri pale kanisani karibu kabisa na kwa Marehem Sumarri, uulize wale wazungu walozikwa pale ilikuaje? Na ni kwa order zipi?

Uliza habari za kina Askofu Kweka.

Mangi unakosea sana unapowaita Vizee, wape heshima yao. Tena angalia kauli yako isionekane kama msimamo wa chama chetu kipendwa. Au umetumwa na CCM nini?


Hiyo Usa-River ulosikia hizi habari ni usa-river ipi?
 
Na inakuaje Washili haohao wakubali viongozi wengine wa Chadema watawakubali waende kumkampenia mshiriki wa Chadema lakini si Lema hapa ndipo napopata shida kujua ni nini kinawasumbua kuhusiana na muheshimiwa Lema.

Hivi wanaposema hawakubali lema aende kupiga kampeni uko, nakumbuka na tendwa alikubaliana na hii kitu inamaanisha hawa wazee wana nguvu gani za kisheria
 

Nachofahamu kuhusiana na hapo kwenye RED kuhusiana na hao wazungu mliwaua halafu mkawazika halafu bado hamkurizika kama wamekufa mkawafukua halafu mkawafanyia Tohara! Hizi ndizo mila za Kishili sio?
 
Crashwise,uliyoyasema ni kweli.Kimsingi Ndallo amekurupuka!


[TABLE="class: frameBorder"]
[TR="bgcolor: #ffcc33"]
[TD="width: 209"]BUNDLE
[/TD]
[TD="width: 155"] SUBSCRIPTION
[/TD]
[TD="width: 75"] FEE
[/TD]
[TD="width: 90"] VALIDITY
[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #f3f3f3"]
[TD="width: 209"] Daily Bundle (20MB)
[/TD]
[TD="width: 155"] SMS ' datasiku ' to 15444
[/TD]
[TD="width: 75"]
500/=​
[/TD]
[TD="width: 90"]
1 day​
[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #f3f3f3"]
[TD="width: 209"] 1 Day bundle (300MB)
[/TD]
[TD="width: 155"] SMS ' dataplus ' to 15444
[/TD]
[TD="width: 75"]
3,000/=​
[/TD]
[TD="width: 90"]
1 day​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nachofahamu kuhusiana na hapo kwenye RED kuhusiana na hao wazungu mliwaua halafu mkawazika halafu bado hamkurizika kama wamekufa mkawafukua halafu mkawafanyia Tohara! Hizi ndizo mila za Kishili sio?
Samahani blaza....... hivi wewe ni mchga au?
Nataka kujua tu, hizi dharau zilikuwepo tangu enzi za mababu zetu. Sisi vijana hatujali uchaga na umeru kwa hiyo usilete hizo hapa!
Kuna vijana wawili wanaogombea ubunge.... wameru watamchagua wanaemuona anawafaa, nothing else.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…