Kuna hii hoja ya TRA na magari mitumba (used car) mswahili kujinunulia ka mtumba kake inakuwa haramu, sasa gari limekuwa kama kunywa gongo kila chombo cha dola kinawewe, TRA, trafik, sumatra, tbs, parking system.
tunalipa road licence ya 150,000/= kila mwaka na barabara tunachimba wenyewe kwa harambee, siwalipe dar wenye barabara za lami! hili tunasumbiri world bank watushauri kweli? kwangu mie gari ni sawa na baiskeli, tv, friji na pasi, hii sio anasa kama TRA wanavyodhani.