Je, mfano nyumba ipo kigoma na mimi nipo mtwara alafu nikatuma sms umeme uka pita vizuri kwenye mfumo ila kifaa kina tatizo je mfumo utanitarifu kwamba kule nyumbani umeme upo ila kifaa kinaitilafu fulani au taa imeunguwa? Je iyo simu itakayo baki kigoma kwa ajili yaku washa na kuzima mfano ikaondolewa kwenye mfumo na mwizi au ikakosa umeme je itanipa taarifa kwamba saivi sipo kwenye mfumo? au saivi sipati umeme nitazima baada ya muda fulani?
jibu la swali1
kama umewasha, na taa/kifaa kikawaka, utaletewa sms KIFAA kipo ON, kama taa/kifaa hakijawaka na uli command kuiwasha, utaletewa sms, KIFAA kina TATIZO,
haitotaja ni tatizo gani, ni kukujulisha tu kama ni taa may be imeungua, au yawezakua imechomolewa(imetolewa from its holder)
jibu la swali2
system inakaa juu ya ceiling,(darini) sidhani kama kuna mtu atafikia huko,
jibu la swali 3
hii huduma inatumia sms, kama umeme uko kigoma amna, ukituma sms maana yake hutapata 'delivered' wala hutajibiwa, ni sawa uitumea sms simu iliyozimwa hutapata 'delivered' message,
umeme ukirudi tu, meseji yako itasomwa na kifaa husika kitawaka/kuzima
AU waweza tumia special channels ambazo zipo 2 katika package, apa utakua unaset mda wa ON/OFF , then mambo yanafanya yenyewe