Washa vifaa vya umeme kwa SMS ya simu

Itakuwa nzuri sana.Swali langu gharama za kila mwezi ni kiasi gani? Au hiyo package ikiisha ndo unalipia? Na je package hiyo ina uwezo wa kukaa muda gani approximately?
 
Hii huduma ni lazima uwe eneo husika? Kama ndio jitahidini ifanye kazi mtu akiwa hata mbali na nyumbani aweze washa taa zake hususani pale anapochelewa kurudi nyumbani na anaishi peke yake

Hii huduma inatumia SMS ya simu yako, POPOTE ULIPO , hata kama upo kigoma na nyumba ipo dsm utakua na uwezo ku control mkuu, haitegemei distance

Ahsante
 
Itakuwa nzuri sana.Swali langu gharama za kila mwezi ni kiasi gani? Au hiyo package ikiisha ndo unalipia? Na je package hiyo ina uwezo wa kukaa muda gani approximately?
Amna garama ya kila mwezi, amna garama ya kujirudiarudia , hii ni sawa na wiring ya nyumba yako, you do it ONCE ,

Garantii ni MIAKA 2 chochote kitakachotokea ndani ya iyo miaka ni juu yetu sisi , replacement + troubleshooting
 
Hii nimeipenda, hongereni sana.

Inamaana 800,000/= ndio bei ya kuanzia hata kama hautumii njia zote 8? Kwa mfano nikiunga taa za ndani na za nje peke yake inamaana ntatumia njia 2, bado ntatoa hiyo hiyo laki 8?

Ahsanteni kwa ubunifu.
 
Hii nimeipenda, hongereni sana.

Inamaana 800,000/= ndio bei ya kuanzia hata kama hautumii njia zote 8? Kwa mfano nikiunga taa za ndani na za nje peke yake inamaana ntatumia njia 2, bado ntatoa hiyo hiyo laki 8?

Ahsanteni kwa ubunifu.
swali zuri
iyo pricing tajwa ndio hukamilisha malengo yote 10 yaliyoorodheshwa, channel(njia) ikiwa na nafasi ndogo, pricing yaweza shuka ila baadhi ya ya vipengele utavikosa mkuu...kipengele kama no.4 na no.9
 
hyo nzur lakn hakuna ya kuzima pasi kama ulisahau ?
huu mfumo unatumia Njia 8, njia moja wapo kati ya izo inaunganishwa na 'Switched Socket Outlet' ya PASI mkuu, kwa maana waweza izima hata kama uko mbali..umbali wowote ULE
 
Back
Top Bottom