Waseminary wanaongoza kwa ulevi na ufuska!

Waseminary wanaongoza kwa ulevi na ufuska!

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Binafsi ni mseminari wa zamaaani hapa Iringa. Naomba kukili wazi kuwa waseminari wengi ni walevi au wanywaji wa vileo sana! Nimejaribu kufanya utafiti mdogo, wengi wa rafiki zangu ni full ulabu. Wengi pia wanapenda totozi sana. Hata wenye ndoa wanapitia michepuko sana. Pale seminarini nakumbuka nikiwa mdogo miaka ile, tuliwaogopa sana wadada ila baada ya kuhitimu kwa maksi kali mtaani full ulabu/ulanzi na wadada tu!

Fundisho: Ulevi noma, michepuko sio dili, baki njia kuu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Binafsi ni mseminari wa zamaaani hapa Iringa. Naomba kukili wazi kuwa waseminari wengi ni walevi au wanywaji wa vileo sana! Nimejaribu kufanya utafiti mdogo, wengi wa rafiki zangu ni full ulabu. Wengi pia wanapenda totozi sana. Hata wenye ndoa wanapitia michepuko sana. Pale seminarini nakumbuka nikiwa mdogo miaka ile, tuliwaogopa sana wadada ila baada ya kuhitimu kwa maksi kali mtaani full ulabu/ulanzi na wadada tu!

Fundisho: Ulevi noma, michepuko sio dili, baki njia kuu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mnaongoza kwa kulawiti vilevile!...
 
Binafsi ni mseminari wa zamaaani hapa Iringa. Naomba kukili wazi kuwa waseminari wengi ni walevi au wanywaji wa vileo sana! Nimejaribu kufanya utafiti mdogo, wengi wa rafiki zangu ni full ulabu. Wengi pia wanapenda totozi sana. Hata wenye ndoa wanapitia michepuko sana. Pale seminarini nakumbuka nikiwa mdogo miaka ile, tuliwaogopa sana wadada ila baada ya kuhitimu kwa maksi kali mtaani full ulabu/ulanzi na wadada tu!

Fundisho: Ulevi noma, michepuko sio dili, baki njia kuu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Unajaribu kufanya tabia yako na wengine wachache kuwa ndio ya wote? You are wrong my young brother. Mimi nimesoma seminary mwanzo mwisho na nimekutana na waseminary wengi tu wenye tabia na maadili yaliyotukuka hasa
 
Kuelekea xmass na bia za mialiko watu wanaandika uzi bado wana hangover za bia za ofa katika maandilizi ya sherehe za xmass...bado hakuna ushirikiano kati ya vidole na ubongo na matokeo yake ndio thread kama hizi na bado zitakuja nyingi kama hizi.....akipata fahamu atakuja kuedit uzi wake....tuweni na subira waungwana.....
 
Ni kweli kabisa....binafsi advance shule nliyosoma tulikuwa jirani na seminari kuu. Simalizii najua mmenielewa kiutu uzima
 
Binafsi ni mseminari wa zamaaani hapa Iringa. Naomba kukili wazi kuwa waseminari wengi ni walevi au wanywaji wa vileo sana! Nimejaribu kufanya utafiti mdogo, wengi wa rafiki zangu ni full ulabu. Wengi pia wanapenda totozi sana. Hata wenye ndoa wanapitia michepuko sana. Pale seminarini nakumbuka nikiwa mdogo miaka ile, tuliwaogopa sana wadada ila baada ya kuhitimu kwa maksi kali mtaani full ulabu/ulanzi na wadada tu!

Fundisho: Ulevi noma, michepuko sio dili, baki njia kuu!


Wewe pia ni mlevi wa kupindukia?
 
Hizi story sijaanza kusikia leo toka nipo form one nasikia tu zinaongelewa mpaka leo bado zinaongelewa.Na zitaendelea kuongelewa tu.Sijui huo utafiti huwa mnafanyia wapi,,kijijini kwenu idodi waseminari mpo wawili wewe na huyo mwenzako na wote ni walevi wa kutupwa na tabia chafu chafu,halafu baada ya hapo unasema waseminari wanaongoza kwa hizo tabia kisa wewe una tabia kama hizo.Tena si hivyo toka zamani nasikia kuwa ukienda chuo kikuu waseminary huwa wanafail vibaya mno,lkn najiuliza hawa Malecturers,viongozi mbalimbali ambao wamepita seminary mbona hawakufeli.
Naamini nawe umeandika Story uliyosikia either vijiweni tu na ukajiaminisha kwa kutumia tabia yako ya rafiki yako wa Idodi
 
Back
Top Bottom