uko mbali na habari ndugu, rejea taarifa za rmo kigoma, taarifa za oxfam, unhcr na wadau wengine, hivi watz why mnakuwa nyuma hivyo kihabari? Ndio mnaodanganywa kirahisi coz you are not informed, you don't search for information like huyu hapa. Uvivu wa kufikiri umekuja hadi uvivu wa kusikilza!!!!!