MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 165
Jinsi serikali ilivyopangwa kimfumo, kila wizara na idara huhusika na kuwajibika kwa mambo yanayoishusu. Asubuhi hii msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje somebody Kiziga? alihojiwa na BBC.
Alichoulizwa ni kuhusu mkutano wa wakuu wa EAC. Msemaji huyo aliendelea kubwabwaja hata masuala yasiyoihusu wizara yake kuhusu hali ya wakimbizi na uingiaji wao nchini. Hili kimsingi msemaji ni Wizara ya mambo ya Ndani.
Anyway, kilichoudhi zaidi ni kutoa taarifa zisizo na ukweli kuwa hali ya wakimbizi ni mbaya sana na inaendelea kuwa mbaya na wanaendelea kumiminika nchini.
Ukweli ni kuwa kiafya ugonjwa wa kipindupindu uliolipuka kambini umeshadhibitiwa, na hakuna kifo chochote zaidi ya wiki nzima sasa. Pia wakimbizi hawaji kwa wingi tena na kijijini Kagunga wameshaondolewa karibu wote.
Hivi hawa wasemaji wetu wa wizara hawajui mipaka ya kazi yao? na why hawawi na taarifa up to date? kwa nini hawawaelekezi wanahabari kwa responsible persons? Je si ukilaza huu?
Alichoulizwa ni kuhusu mkutano wa wakuu wa EAC. Msemaji huyo aliendelea kubwabwaja hata masuala yasiyoihusu wizara yake kuhusu hali ya wakimbizi na uingiaji wao nchini. Hili kimsingi msemaji ni Wizara ya mambo ya Ndani.
Anyway, kilichoudhi zaidi ni kutoa taarifa zisizo na ukweli kuwa hali ya wakimbizi ni mbaya sana na inaendelea kuwa mbaya na wanaendelea kumiminika nchini.
Ukweli ni kuwa kiafya ugonjwa wa kipindupindu uliolipuka kambini umeshadhibitiwa, na hakuna kifo chochote zaidi ya wiki nzima sasa. Pia wakimbizi hawaji kwa wingi tena na kijijini Kagunga wameshaondolewa karibu wote.
Hivi hawa wasemaji wetu wa wizara hawajui mipaka ya kazi yao? na why hawawi na taarifa up to date? kwa nini hawawaelekezi wanahabari kwa responsible persons? Je si ukilaza huu?