Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,267
- 5,854
Nimesikiliza nyimbo za maombolezo za msiba wa John Pombe Magufuli zaidi ya 100
Msanii wa pekee alieweza tengeneza HIT ni PETER MSECHU.
Katoa melody (ala) ya pekee na mashairi safi yanafariji, yanaenzi pia, yanaburudisha, yanatia moyo, yana enzi.
Haihtaji kuimba kwa huzuniiii kama unalia ndio uwe Mwanamuziki, au uoneshe ni wimbo wa maombolezo, pengine ndio maana wasanii wengi nyimbo zimekuwa za kawaida, nyingine hata hutaki kusikiliza kabisa. OVYO
Ukimtoa Msechu na wimbo wake "Umetuacha salama", ni kipande Cha Christina Shusho alichoimba "Umeenda, umeenda baba" kwenye wimbo wa wasanii wengi wa aoina Diamond, Ndio Bora, ingekuwa ni wimbo binafsi ingekuwa Hit Pengine. Zilizobaki duh. Ni miborongo tu
Lakini pia Wimbo wa MSECHU ndio wimbo wa kwanza kabisa wa maombolezo kutoka lakini umekuwa HIT, jamaa katembea na melody kwa namna ya pekee juu ya mashairi yake ya kawaida tu lakini HOT
Nimemkumkumbuka Kepten Komba. Wanamuziki ni wachache sana Tanzania. Ukiondoa leo studio za kisasa za kuingiza sauti na ku modify hatuna wanamuziki, wengi ni wasanii tu kama Bongo Movie
Eko Msechu.
Msanii wa pekee alieweza tengeneza HIT ni PETER MSECHU.
Katoa melody (ala) ya pekee na mashairi safi yanafariji, yanaenzi pia, yanaburudisha, yanatia moyo, yana enzi.
Haihtaji kuimba kwa huzuniiii kama unalia ndio uwe Mwanamuziki, au uoneshe ni wimbo wa maombolezo, pengine ndio maana wasanii wengi nyimbo zimekuwa za kawaida, nyingine hata hutaki kusikiliza kabisa. OVYO
Ukimtoa Msechu na wimbo wake "Umetuacha salama", ni kipande Cha Christina Shusho alichoimba "Umeenda, umeenda baba" kwenye wimbo wa wasanii wengi wa aoina Diamond, Ndio Bora, ingekuwa ni wimbo binafsi ingekuwa Hit Pengine. Zilizobaki duh. Ni miborongo tu
Lakini pia Wimbo wa MSECHU ndio wimbo wa kwanza kabisa wa maombolezo kutoka lakini umekuwa HIT, jamaa katembea na melody kwa namna ya pekee juu ya mashairi yake ya kawaida tu lakini HOT
Nimemkumkumbuka Kepten Komba. Wanamuziki ni wachache sana Tanzania. Ukiondoa leo studio za kisasa za kuingiza sauti na ku modify hatuna wanamuziki, wengi ni wasanii tu kama Bongo Movie
Eko Msechu.