Wasanii wa kike wanapenda kukaa uchi kwanini?

Wasanii wa kike wanapenda kukaa uchi kwanini?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,277
Reaction score
16,227
Wakati wasanii wakipanda majukwaani na suti kuimba wale wenzao wa kike wanapanda majukwaani vitovu, matiti, mapaja na chupi njenje, hii inasababishwa na nini? Kitu gani kimepungua kwa wasanii wa kike hadi watamani kupanda jukwaani wakiwa watupu?
 
Wakati wasanii wakipanda majukwaani na suti kuimba wale wenzao wa kike wanapanda majukwaani vitovu, matiti, mapaja na chupi njenje, hii inasababishwa na nini? Kitu gani kimepungua kwa wasanii wa kike hadi watamani kupanda jukwaani wakiwa watupu?
Unaanzisha Uzi huu usiku wa manane unahitaji nn?
 
Iyo inaitwa ,,usipopenda maneno yawimbo Wangu au sauti yangu...

BASI UTAPENDA ....
matiti yangu
Makalio yangu.
Mgongo Wangu
Hips zangu.
Tumbo langu.
Kifua changu.


Kama kuna kitu nmekiacha ,,utaongezeaaaa.

Cc.Shilole Beibiiiiiiii
 
kawaida tu mdau si kila kitu unahoji
huko majuu hujionei izo mambo au
 
Wakati wasanii wakipanda majukwaani na suti kuimba wale wenzao wa kike wanapanda majukwaani vitovu, matiti, mapaja na chupi njenje, hii inasababishwa na nini? Kitu gani kimepungua kwa wasanii wa kike hadi watamani kupanda jukwaani wakiwa watupu?

Kakemeaa Mzee umepata jibu lako?
 
Back
Top Bottom