Wasanii na Celebrities wa Kiume wa Bongo Badilikeni Kuweni Kama AliKiba

Blank page

JF-Expert Member
May 28, 2015
5,473
4,787
Kwenye mada straight...kiukweli Ali kiba ni mfano wa wasanii wa kuigwa katika vitu anavifanya
Mojawapo ni mavazi anayovaa,anavaa nguo nzuri za kueleweka,pili hajirembi katika videos ye hanaga mambo mengi sijui kutengeneza style flanii za nywele ananyoa kawaida tuu tena vizuri na anapendeza.pia havai mamikufu,macheni kama wasanii wengine..hope mnawafahamu...kingine ali kiba havai au kubandika hereni masikioni kama akina platnumz,rayvanny,ommy dimpozi,neddy,nuhu na wengine...afu hapendi kiki,sio mtu wa kiki akitoa ngoma kuanza kupromote kijinga au kutupa mapicha ya ovyo mitandaoni na vitu kama ivo.
pia ana maadili nyimbo zake nyingi anazoimba zina ujumbe na zinaeleweka si za matusi au kudiss...jamaa yuko poa sana anajua nampa respect sana nikimcompare na wasanii wa kiumeni wengine.
tuyaache mapungufu yake mengine jinsi anavyoongea na watu au katika interviews,na mahusiano...na mengine.
[HASHTAG]#nooneisperfectbutyoucanchangeandstopacting[/HASHTAG]
 
Tafuta video za zamani za Ali kiba, zamani Ali Kiba alikua anavaa pullet za maskio nimesahau ni wimbo gani exactly ila nahisi ni Cinderela na kuna mwingine aliimba na Bob Junior, wapo kwenye kama kimsitu hivi wamevaa tuxedo mara wamevaa mashati ya jinzi of course ni kitambo.

Kuhusu kuimba utumbo.
Ule wimbo unaitwa Nakshi Nakshi kamshiriksha Hakim 5 (kipindi hicho jamaa anarap) chorus inasema hivi.
...so ndo mchezo gani huo, wa kunirusha roho mwenzio, wakati we upo kwa period noo

Kwenye live show ndiyo alikua akitamka bila kung'ata maneno.

Kwenye wimbo wa Mwana alinyoa bonge la Kiduku, kwenye wimbo wake na Queen Darleen alipiga mlegezo mmoja matata sana.

Kuanzia wimbo wa Chekecha Cheketua ndiyo akaondoa Kiduku nahisi hii persona uliyoielezea ni ya kuanzia hapo.
 
Kwenye mada straight...kiukweli Ali kiba ni mfano wa wasanii wa kuigwa katika vitu anavifanya
Mojawapo ni mavazi anayovaa,anavaa nguo nzuri za kueleweka,pili hajirembi katika videos ye hanaga mambo mengi sijui kutengeneza style flanii za nywele ananyoa kawaida tuu tena vizuri na anapendeza.pia havai mamikufu,macheni kama wasanii wengine..hope mnawafahamu...kingine ali kiba havai au kubandika hereni masikioni kama akina platnumz,rayvanny,ommy dimpozi,neddy,nuhu na wengine...afu hapendi kiki,sio mtu wa kiki akitoa ngoma kuanza kupromote kijinga au kutupa mapicha ya ovyo mitandaoni na vitu kama ivo.
pia ana maadili nyimbo zake nyingi anazoimba zina ujumbe na zinaeleweka si za matusi au kudiss...jamaa yuko poa sana anajua nampa respect sana nikimcompare na wasanii wa kiumeni wengine.
tuyaache mapungufu yake mengine jinsi anavyoongea na watu au katika interviews,na mahusiano...na mengine.
[HASHTAG]#nooneisperfectbutyoucanchangeandstopacting[/HASHTAG]


Sijawahi kuona msanii yeyote wa bongo fleva wa maana, nawaona wote sawa tu kwa sababu ni wasanii na waigizaji wa mambo ya nje. Inabidi serikali iwakamate hawa wote na kuwarudisha shule.
 
Kwenye mada straight...kiukweli Ali kiba ni mfano wa wasanii wa kuigwa katika vitu anavifanya
Mojawapo ni mavazi anayovaa,anavaa nguo nzuri za kueleweka,pili hajirembi katika videos ye hanaga mambo mengi sijui kutengeneza style flanii za nywele ananyoa kawaida tuu tena vizuri na anapendeza.pia havai mamikufu,macheni kama wasanii wengine..hope mnawafahamu...kingine ali kiba havai au kubandika hereni masikioni kama akina platnumz,rayvanny,ommy dimpozi,neddy,nuhu na wengine...afu hapendi kiki,sio mtu wa kiki akitoa ngoma kuanza kupromote kijinga au kutupa mapicha ya ovyo mitandaoni na vitu kama ivo.
pia ana maadili nyimbo zake nyingi anazoimba zina ujumbe na zinaeleweka si za matusi au kudiss...jamaa yuko poa sana anajua nampa respect sana nikimcompare na wasanii wa kiumeni wengine.
tuyaache mapungufu yake mengine jinsi anavyoongea na watu au katika interviews,na mahusiano...na mengine.
[HASHTAG]#nooneisperfectbutyoucanchangeandstopacting[/HASHTAG]


Usipende kuudhi watu wanaojielewa hapa, Tanzania hakuna wasanii wala celebrities. Hao uliowataja ni wasanii tu na wababishaji.
 
b296880598fae7f4ec466d407db1de67.jpg

15 may 2017
11741f51df6b7306e02b285964b91df9.jpg

14 may 2017
Sijui unamzungumzia Ali K wa mwaka gani sijajua bado mtoa mada acha ushamba.
Msanii.ni cha jamiii ndo hivi kweli.Hao ni wasanii kunyoa viduku suruali kuavaa zilizochanika eti anajieshimu thubutuuu but siyo kwa wasanii.
 
Tafuta video za zamani za Ali kiba, zamani Ali Kiba alikua anavaa pullet za maskio nimesahau ni wimbo gani exactly ila nahisi ni Cinderela na kuna mwingine aliimba na Bob Junior, wapo kwenye kama kimsitu hivi wamevaa tuxedo mara wamevaa mashati ya jinzi of course ni kitambo.

Kuhusu kuimba utumbo.
Ule wimbo unaitwa Nakshi Nakshi kamshiriksha Hakim 5 (kipindi hicho jamaa anarap) chorus inasema hivi.
...so ndo mchezo gani huo, wa kunirusha roho mwenzio, wakati we upo kwa period noo

Kwenye live show ndiyo alikua akitamka bila kung'ata maneno.

Kwenye wimbo wa Mwana alinyoa bonge la Kiduku, kwenye wimbo wake na Queen Darleen alipiga mlegezo mmoja matata sana.

Kuanzia wimbo wa Chekecha Cheketua ndiyo akaondoa Kiduku nahisi hii persona uliyoielezea ni ya kuanzia hapo.
Uchambuzi mzuri sana mkuu,hongera ila kwa jinsi ulvyoelezea yeye ali k ni anaundergo positive changes sio za kishamba au kijinga kama wengne wanakoelekea ni kubaya zaid.
 
Back
Top Bottom