Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Kinacho endelea toka kampeni zime anza ni kuwa CCM wana fanya promotion kubwa ya wasanii kuliko Sera zake. Huu ndio wakati wenu wasanii kuchuma na kupata promotion kabambe inayo fanywa na rais aliyepo madarakani.
Najiuliza sijui CCM waki amua hata kwa wiki moja kuzunguka bila wasanii kama cdm itakuwaje. Hogereni CCM kwa promotion kabambe kwa wasanii wetu!
Najiuliza sijui CCM waki amua hata kwa wiki moja kuzunguka bila wasanii kama cdm itakuwaje. Hogereni CCM kwa promotion kabambe kwa wasanii wetu!