MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 572
- 573
..
Ila kweli ngwair anazingua,hadi Leo hajatoa wimbo mpya,sijui yupo Wapi.
Ila kweli ngwair anazingua,hadi Leo hajatoa wimbo mpya,sijui yupo Wapi.
Kuna kitu hua najiuliza kila siku kwanini watu wenye vipaji bongo hua wanajisahau na kuishia kubaya mfano,
chid benz- jamaa alikua anaweza sana na hutochoka kumsikiliza, ila sasa kila mtu anajua yuko wapi.
Tid mnyama- ni miongoni mwa legends wachache waliofanikiwa kudumu hadi leo lakini ngada inaelekea kumpoteza.
Q-chilla- jamaa alikua fundi sana na ile sauti yake lakini nilisikia ngada ilimpoteza.
Ngwea- kila mtu anajua habari yake.
Hiyo ni mifano michache tu nawewe waweza kuongezea!
Ila kweli ngwair anazingua,hadi Leo hajatoa wimbo mpya,sijui yupo Wapi.
Hao uliowataja hapo ngada imewaharibu..licha ya hivyo wasanii wetu wanaridhika mapema na kidogo wanachopata,starehe nyingi na kuiga maisha ya mbele.wenzao wanatumia madawa pure sio kama hayo makapi wanayotumia wao,wenzao wanapiga misosi fresh na wanafanya checkup za mara kwa mara
grace matata naye anajua sana lakin sijui tatizo nin
1.Belle 9 dogo anajua bt anabaniwa
2.Nuluel anajua sana bt sijui tatizo nini
3.Hard Mad ni fundi lkn daa kimya..
Belle 9 anabaniwa na nani
T.I.D kaishiwaTID mtoe hapo...mbahatishaji huyu, ameisha hata afanyeje kwa sasa
Mawingu....
Mawingu....