Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Ni chinbeez sio chid benzimaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
maskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
CHIN BEES Kidevu ndio anazungumziwa hapamaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Ni chin beez na sio chid benzmaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Chin Beez na Chid Benz ni wasanii wawili tofauti...Chid Benz hakuwepo kwenye listmaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Sio chid benz,chin beensmaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair
Link hii hapa Audio: Wasanii 2O wakatwa katika list ya Fiesta Dar – Bongo5.com sheria zinazingatiwa Dar kwingine wanapeta ili vijana wafaidi burudani mpaka kucheee.Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, Alhamisi hii katika kipindi cha Clouds360, amesema amepunguza wasanii 20 katika list ya wasanii ambao walipanga kuwepo kwenye show ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Jumamosi hii katika viwanjwa Leaders Club.
Ruge alisema miongoni mwa wasanii hao walioondolewa kisa muda ni pamoja na Lulu Diva, Zaiid, pamoja na ChinBeez.
‘’Tulikaa kama kamati jana tunatumia nguvu kubwa mno kwenye suala la muda wakati tuna shoo kubwa iliyokamilika, kwahiyo tumeamua kuachana na suala la muda,tumeamua tukae kwenye muda tulioupanga sisi na kuhakikisha tuna ‘six hours’ za entertainment ambazo zimepangwa na kupangika,” alisema Ruge.
Aliongeza, “Kitakachokosekana ni wale wasanii zaidi ya 20, kama, Bright, Mimi Mars,Lulu Diva, Zaiidyao, ChinBeez,hao bahati mbaya ni lazima tuwaondoe kwa sababu ya ratiba kubana kutokana na muda, tungeweza kuwaingiza lakini hatuna muda’’
BONGO 5
sio chid ni chinbeez jamaa ya chuga hiimaskini chid benzi angepata hata hela ya kununua dawa na kunywa uji arejeshe afya.muathirika wa unga na HIV mnampa tena stress sio fair