Wasambazaji ice cream wanahitajika

Wasambazaji ice cream wanahitajika

mwerevu mwenye busara

Senior Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
144
Reaction score
93
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Wanahitajika wasambazaji wa ice cream
Malipo ni kutokana na mauzo yako
Utauziwa ice cream kwa sh.50 na kuuza kwa bei uipendayo(zinauzwa kuanzia sh.100-200).
Kiwango cha chini cha idadi ya ice cream ni 100.
Fursa pia ya kuongeza faida kwa wenye maduka/vijiwe sehemu ambazo ice cream zinauzika.
PM me kwa watakaokuwa interested
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Wanahitajika wasambazaji wa ice cream
Malipo ni kutokana na mauzo yako
Utauziwa ice cream kwa sh.50 na kuuza kwa bei uipendayo(zinauzwa kuanzia sh.100-200).
Kiwango cha chini cha idadi ya ice cream ni 100.
Fursa pia ya kuongeza faida kwa wenye maduka/vijiwe sehemu ambazo ice cream zinauzika.
PM me kwa watakaokuwa interested
Mkuu upo wapi tufanye biashara?
 
Back
Top Bottom