Anachoka kwa lipi hasa?
Kwani natembezwa kwa miguu huko mikoani,mtu anasafiria V8 new model full kiyoyozi % mvinyo, shampen,kuku vipo ndan,choo kipo gari ya nyuma,hafungi vifungo vya shati wala kubrashi viatu,kila kitu anafanyiwa, analala hotel hadhi ya 5*s ..Hata tarifa za kiingereza zilishatafsiriwa na kibudi tena amewekewa kwenye audio yy anasikiliza tu na kumeza, hachapii wala haandai hotuba kila kitu anandaliwa yy kusoma tu,afu mnatudanganya anachoka kwa ziara nyingi. Zile ni ziara au anafanya utalii wa ndani bila malipo kwa mgogo wa ziara, anapoteza tu pesa za walipa kodi sijawahi ona jipya kwenye ziara zaidi ya kukifanyia chama chake kampeni.
Kwani natembezwa kwa miguu huko mikoani,mtu anasafiria V8 new model full kiyoyozi % mvinyo, shampen,kuku vipo ndan,choo kipo gari ya nyuma,hafungi vifungo vya shati wala kubrashi viatu,kila kitu anafanyiwa, analala hotel hadhi ya 5*s ..Hata tarifa za kiingereza zilishatafsiriwa na kibudi tena amewekewa kwenye audio yy anasikiliza tu na kumeza, hachapii wala haandai hotuba kila kitu anandaliwa yy kusoma tu,afu mnatudanganya anachoka kwa ziara nyingi. Zile ni ziara au anafanya utalii wa ndani bila malipo kwa mgogo wa ziara, anapoteza tu pesa za walipa kodi sijawahi ona jipya kwenye ziara zaidi ya kukifanyia chama chake kampeni.