Bora muziki maana una alternative ya kuupata. Lakini sio mtu alikuwa anatoa maelezo halafu anakatishwa ghafla, kwanza inamwondoa kwenye mtiririko hata mzungumzaji.Na Efm wanavokata mziki af tangazo
Ila kuna Masoud Kipanya,Siza ,Kikeke hawa ni bora kwangu na huwa hawana mrengo wakati wa kuhoji...Nafikiri hili ni janga kwa waandishi wa sasa maybe kwenye siasa na udaku/mapenzi lkn kwamaswali ya maendeleo au yakumfanya anaeulizwa apate kufikiri zaidi ni ngumu sana hawana uwezo wa kufanya tafiti nzuri kabla ya kipindi au kuuliza maswali magumu,wapo km wanatimiza tu wajibu wakua sehemu husika
Mkuu kamai inakuja inakataaa[emoji1787][emoji1787]Aliyekuzidi , anakuchapa na ulichonacho ( akukizile akuteza eyokwete)
Teheeeeee imeisha hiyoMkuu kamai inakuja inakataaa[emoji1787][emoji1787]
HahaaasChumviiiiii.....Mwaga maji.
Clouds wana matangazo ndio ila angalau wanajua kucheza na akili ya wasikilizajiSijakuelewa Mkuu yaani unataka Chizi akajifunze kwa Mwendawazimu au?
Hapa nasikiliza u live itabidi nipunguze sana sauti usikute Kuna mwana jf huko nje ananisikiaKwa hiyo usiposikiliza radio ndio unakuwa mtu wa maana au vipi?
😂😂Hapa nasikiliza u live itabidi nipunguze sana sauti usikute Kuna mwana jf huko nje ananisikia
Professionalism. Wafanyakaz wengi wa pale ni D4.Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio mbalimbali ikiwamo Wasafi Fm.
Vipindi karibuni vyote kama Wasafi fm ukikuta wanamu_interview mtu au msanii huwa wanaboa sana wanajidai wanajua kwenda Kwa muda...lkn Sasa hawajui right timing.....mtu anakatishwa maongezi kama anagongwa na gari haileti ladha na Kuna lijingle huwa linawekwa....matangazo ni muhimu ila right timing ...msikilizaji asigundue hebu kajifunzeni kutoka Leo Tena ya clouds na power breakfast.....mnafeli wapi?