Wasafi Media wana beef na M-BET?

Wasafi Media wana beef na M-BET?

Kwanza unapaswa kufahamu hv mkuu,hiyo page haina uhusiano Na wasafi fm au tv,(sio yao)..

Pili hiyo page huwa inatangaza matangazo ya kibiashara so ku display m bet ni kama kupromote biashara yao bila malipo.

Hata mwanadada kwa jina la aminatasportlady huwa anahide majina ya makampuni so na yeye tuseme ana bifu na m bet?

Ila ni undezi tu, basi acha kabisa kupost, sio unatoa habari halafu unaedit picha waliyoweka wenzio.
 
Hivi sio kosa kisheria kuedit maandishi au kuyavuruga kama walivyofanya?
 
Mzee nadhani ni jambo la kibiashara maana hata Sport pesa huwa wanaziba kumbuka wao wana wasafi Beting so hawawezi kuwapa shavu washindani wao.
Hata asipoonesha sisi tunajua hiyo ni mbet
Itafika hatua hata NBC premier League watakuwa hawatamki
 
Back
Top Bottom