Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Kila mkoa una idadi ya frequency, kama zikishajaa basi unalazimika kwenda mkoa mwingine. Ndiyo maana akina Mjini FM wanapitia kwingine na ofisi ziko Dar.

Hapo nyuma kuna mtu mmoja, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa kigogo JW, alianzisha redio ya dini na alilazimika kutumia Frequency na Bakwata ili aruke Dar.

Studio zilikuwa pale Al Haramain, ila baadaye kuna mambo alifanya sivyo ndivyo, Bakwata wakaamua kuchukua Frequency zao. Jamaa akaamua kuachana na redio.

Hata Eric Shigongo akiamua kuanzisha redio leo hii, itaruka Dar, kwa sababu ana frequency kitambo za hapo Dar.

Ova
 
Nyie wajuzi wa mambo sijui kwanini huwa mnachelewa mpaka walugaluga wanatusumbua hapa.
Asante kwa kuweka mzani sawa b...
 
Mbona unatumia nguvu nyingi kubishana na wajinga?
 
Hivi vitu ni optional halafu unaweza kufika dau ya mmiliki wa frequence nzuri anazohold nae akagoma sio lazma akuuzie sababu na yeye sio njaa kivile

Pili ni huwezi jua hata io 107.3 je km nayo alinunua? Na ndio aliyoipata


FIkiria nje ya boksi
Umefafanua vizuri mkuu, ni kama Joe hauzi frequency kwa bei yoyote, kama ukizitaka mgawane umiliki wa hiyo redio.

Hata huyo SSB ni hizo UFM na UTV ndizo zimeanzia hapo TZ, nyingine zimeanzishiwa kwingine huko na TZ zimekuja kuruka tu kwa kisimbuzi.

Ova
 
Kwani wale waliomeza madesa ya darasani wako wapi lakini? Wajuzi mmekuja wamepotea.
Natamani waje wabishe tena.
 
Kings FM ni radio ipo Njombe mjini . Labda watafute jina mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…