Nimekuwa nikifuatilia sana Wasafi Tv channel na radio pia nimeona ni jinsi gani hamjajipanga na mnafanya kazi kwa mazoea.
Naamini hata wafanyakazi wenu wengi hawana taaluma ya utangazaji wala uandaaji wa vipindi.
Watangazaji wenu wamekuwa na porojo nyingi na kutokuwa na taarifa sahihi.
Mfano kukosea hata majina na taarifa za watu mashuhuri, achilia mbali ubunifu na ukosefu wa maudhui.
Naamini hata wafanyakazi wenu wengi hawana taaluma ya utangazaji wala uandaaji wa vipindi.
Watangazaji wenu wamekuwa na porojo nyingi na kutokuwa na taarifa sahihi.
Mfano kukosea hata majina na taarifa za watu mashuhuri, achilia mbali ubunifu na ukosefu wa maudhui.