Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 223
- 549
Mambo vipi Wana JF?
Nimekuwa Nikishangazwa na Wasafi Media jinsi wanavyoendesha vipindi vyao na jinsi wanavyopata watangazaji wao...inafurahisa kidogo.
Kuna haja ya kutumia waandishi waliobobea kama Pascal Mayalla na wengine wengi wenye uzoefu kwenye tasnia hii wawafunde watangazaji wao, wamekuwa wakitumia sana lugha za kihuni na zisizofaa kwenye Radio na Tv zao...
Kwa watangazaji wengi wa wasafi Taaluma ni chenga, hii inawasavabishia kuongea vitu viliovyopo nje ya maadili ya utangazaji...Ukiwa team Wasafi ukimsifia sana big hata kama umeishia chekechea siku moja tutakusikia wasafi digital...
Waige mfano wa Efm na Clouds watafika mbali..
Nini ushauri wako kwa Media hii changa?
Nimekuwa Nikishangazwa na Wasafi Media jinsi wanavyoendesha vipindi vyao na jinsi wanavyopata watangazaji wao...inafurahisa kidogo.
Kuna haja ya kutumia waandishi waliobobea kama Pascal Mayalla na wengine wengi wenye uzoefu kwenye tasnia hii wawafunde watangazaji wao, wamekuwa wakitumia sana lugha za kihuni na zisizofaa kwenye Radio na Tv zao...
Kwa watangazaji wengi wa wasafi Taaluma ni chenga, hii inawasavabishia kuongea vitu viliovyopo nje ya maadili ya utangazaji...Ukiwa team Wasafi ukimsifia sana big hata kama umeishia chekechea siku moja tutakusikia wasafi digital...
Waige mfano wa Efm na Clouds watafika mbali..
Nini ushauri wako kwa Media hii changa?