Wasabato badilisheni Mtazamo

Wasabato badilisheni Mtazamo

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
21,689
Reaction score
41,849
Wasabato kazi yao nikusubiri RC ieneze injili wao waje nyuma nyumba kuipondea RC ili wavune kwenye kapu la RC,wasabato ni wana ujinga na upumbafu mwingi sana,wao ukatoliki ndio adui yao kuliko hata shetani.

Mpinga kristo ni yule asiyemtangaza kristo,unamwitaje RC mpinga kristo wakati ndio kanisa pekee linalofanya umishonari hadi maeneo hatari kabisa humu ulimwenguni ili kueneza injili na ndio kanisa lililohifadhi na kuulinda ukristo karne na karne.

Wasabato mjitafakari,EG White pamoja na mafundisho yake hili aliwapoteza.

Muwe na JPL njema.
 
Waache wabaki hivo hivo...wakivaa suti nyeusi na kuvalia kama maaskari wanaona washamaliza..hawajui RC ni taasisi iliyojichimbia misisi kiasi kwamba hadi serikqli inaingia ubarid
 
Wasabato kazi yao nikusubiri RC ieneze injili wao waje nyuma nyumba kuipondea RC ili wavune kwenye kapu la RC,wasabato ni wana ujinga na upumbafu mwingi sana,wao ukatoliki ndio adui yao kuliko hata shetani.

Mpinga kristo ni yule asiyemtangaza kristo,unamwitaje RC mpinga kristo wakati ndio kanisa pekee linalofanya umishonari hadi maeneo hatari kabisa humu ulimwenguni ili kueneza injili na ndio kanisa lililohifadhi na kuulinda ukristo karne na karne.

Wasabato mjitafakari,EG White pamoja na mafundisho yake hili aliwapoteza.

Muwe na JPL njema.
kwaiyo wasabato ni kama chadema na Rc ni kama CCM?
 
Katika kitu wazungu na waarabu wametuweza ni kwenye dini yaani muislamu anaona ndugu yake ni mwarabu na mkristo anaona ndugu yake ni mzungu wakati watanzania wanafanana rangi ya ngozi mpaka nywele ila wanabaguana kwasababu ya dini.
 
Back
Top Bottom