Back to Ben stuff. Kuna jamaa mmoja wa PSRC nilikuwa namuuliza kuhusu kama kweli kulikuwa na haja ya kuuza makampuni, alisema wazi kabisa kuwa kila mahali kulikoingia foreign element, kimsingi kulionesha mabadiliko na mafanikio makubwa, japokuwa local elements (siasa za ubinafsi) ziliendelea kukwamisha baadhi ya mambo. Lakini nimekumbuka mengi sana niliyokuwa naongea na Mr Kavishe wa PSRC na kuangalia jinsi tulivyoichezea ATCL, Tazara etc naona kuwa Ben hakukosea sana. (Japokuwa kuna maswali mengi huko TRC).
.
. May be I would have done the same if I was wearing Bens shoes in 1996. I know this may make me sound like an idiot to some, but am not, I think am not.
.
Moja ya sifa ya ungozi ni kujua tabia na saikojia ya unaowaongoza.Ben (mwandishi wa habari na mpenda kusoma) alitujua na mpaka leo anatujua tabia yetu.
Ugonjwa wa tanzania ni kama mtu mwenye jipu, ukitaka ulisogelee kukamua anakufukuza.Hatutaki kuambiwa ukweli na tunataka kuonyosha vidole kwa wengine.
Nashangaa mnasema watanzania wengi wako nje, believe me si kama mataifa mengine ya Afrika, Kenyan, western afrika, wako nje kama kwao vile.Lengo la kusema hivi ni kuwa sisi ni waoga, tumedumazwa, elimu yetu siyo ya Objectively ila subecjtively.
Confidence ndogo, uvivu jadi yetu, kuishi kwa kushindana na kujua nani kafanya nini is part of our culture(kamuulize Shigongo).
The only way that can add value in human life is WORK, thats all, siyo ubosi kama elimu yetu ya vyuoni inavyotufanya tuamini. As a result tuna watu wengi wenye uwezo wa kukaa ofisini, they are not creative! these are very same people that catch any 'opportunity' in their workstations
Nyerere alijitetea na kusema alichukua nchi ina wahandisi wawili, leo hii tunao maelfu, where are they?I know the best genius students(Ilboru, Mzumbe, Kibaha) in this country ndio wengi wamesoma uhandisi wa umeme! yet tunajitetea siasa inawaingilia, wanasiasa hawa wametoka wapi?
We have problems, we are the part of it.
Nikatoa hoja siku moja kuwa Kama Mkapa kafanya hivyo where is the problem, Mkapa au system yetu? na solution ni kulilia system ibadilike au kumsema Mkapa, nani ambaye anaweza kuthibitisha kama angekuwa Ikulu asingeiba? katika sisi wanadamu? wengine watasema Nyerere,WELL Nyerere hakuwa system, hakuwa nchi, hakuwa sheria, hakuwa katiba na hatakuwa katiba, alifail kwa kuweka System mbaya kwa sababu yeye ni 'mtakatifu' basi woote wako hivyo hivyo! as a result wezi wakubwa wote wa nchi hii ni 'watoto wa Nyerere'
Mamlaka ya rahisi inabidi yapunguzwe, katiba ibadilishwe, serikali iwe ya umoja wa vyama vyote MMEISHWAHI KUSIKIA VYAMA VYA UPINZANI WANAANDAMANA NA KUTOKA DAMU KWA SABABU YA KULILIA HAYA MAMBO?? hii si dalili tosha ya kuwa tuna ulemavu wa ubongo, kama vyama vya upinzani havijui wajibu wao, kesho wanaenda kwenye uchaguzi wakijua wanshindwa, HUKO MAOFISINI NA MAKAZINI je!! si same-like story
Who said Mkapa was wrong anyway??
Sipati picha kama Mkapa angekuwa madarakani mpaka leo!!!!!!
It is one thing kubinafsisha mashirika na viwanda vya umma.
Quite another kuuza at throwaway prices zinazosuggest sleaze, kwa watu wasio na uzoefu, majority yao wakiwa wageni.
And the game hits the stratosphere when Mkapa cut a piece of the pie for himself with Kiwira .
I mean how can you defend such a man, Mkapa came across as a common uneducated thief on the scale of the Abachas, Mobutus and Marcoses of this world, at least in principle if not exactly in scale.
PSRC wanatakiwa kulaumiwa kwa kukosa principles certainly, lakini PSRC ilikuwa inaendeshwa kutoka Ikulu na kupewa agenda na Ikulu, kwa waliojali kibarua zaidi ya principle hawakuwa na jinsi.
In any case, Mkapa kama rais alichukua responsibility ya kila kitu na ndiye mtu aliyekuwa na uwezo wa kubadilisha mambo kuliko mwingine yeyote Tanzania.Hakutumia uwezo wake wa kushawishi au nguvu za ofisi ya rais kuhakikisha process nzima inaenda vizuri.
.
Nikatoa hoja siku moja kuwa Kama Mkapa kafanya hivyo where is the problem, Mkapa au system yetu? na solution ni kulilia system ibadilike au kumsema Mkapa, nani ambaye anaweza kuthibitisha kama angekuwa Ikulu asingeiba?
Salute mkuu. Ben alikuja na idea nzuri, yaani kuuza makampuni yaliyokuwa yana underperfom, tulitegemea kuwa yakiuzwa yataperfom na yatawanufaisha zaidi watanzania kuliko ilivyokuwa mwanzo. That is what we were told and that was what we were expecting, not what has come out to be ujanjaujanja, we did not know that someone was trying to buy a mine for himself( labda alikuwa namuwezesha mzawa-yeye mwenyewe)
PSRC si wapo? why don't we bring them before the public and let them tell us why did they lie to us? Hii ndio weakness yetu watanzania. Kwanini na sisi tusiwe na Chilcot inquiry yetu? au ndio waafrika wepesi wa kusahau?
The only way that can add value in human life is WORK, thats all, siyo ubosi kama elimu yetu ya vyuoni inavyotufanya tuamini. As a result tuna watu wengi wenye uwezo wa kukaa ofisini, they are not creative! these are very same people that catch any 'opportunity' in their workstations
Nyerere alijitetea na kusema alichukua nchi ina wahandisi wawili, leo hii tunao maelfu, where are they?I know the best genius students(Ilboru, Mzumbe, Kibaha) in this country ndio wengi wamesoma uhandisi wa umeme! yet tunajitetea siasa inawaingilia, wanasiasa hawa wametoka wapi?
We have problems, we are the part of it.
Nikatoa hoja siku moja kuwa Kama Mkapa kafanya hivyo where is the problem, Mkapa au system yetu? na solution ni kulilia system ibadilike au kumsema Mkapa, nani ambaye anaweza kuthibitisha kama angekuwa Ikulu asingeiba? katika sisi wanadamu? wengine watasema Nyerere,WELL Nyerere hakuwa system, hakuwa nchi, hakuwa sheria, hakuwa katiba na hatakuwa katiba, alifail kwa kuweka System mbaya kwa sababu yeye ni 'mtakatifu' basi woote wako hivyo hivyo! as a result wezi wakubwa wote wa nchi hii ni 'watoto wa Nyerere'
Mamlaka ya rahisi inabidi yapunguzwe, katiba ibadilishwe, serikali iwe ya umoja wa vyama vyote MMEISHWAHI KUSIKIA VYAMA VYA UPINZANI WANAANDAMANA NA KUTOKA DAMU KWA SABABU YA KULILIA HAYA MAMBO?? hii si dalili tosha ya kuwa tuna ulemavu wa ubongo, kama vyama vya upinzani havijui wajibu wao, kesho wanaenda kwenye uchaguzi wakijua wanshindwa, HUKO MAOFISINI NA MAKAZINI je!! si same-like story
Who said Mkapa was wrong anyway??
Mzee hayo maneno niliyabold yanachefua na yamesummarize kila kitu kuhusu wewe na value zako. Inaonyesha ya kuwa tofauti yako na Mkapa ni kwamba wewe hujapata nafasi tuu aliyopata Mkapa na laiti ukipata utafanya the same.
Mkapa was not only wrong but he's actually a thief and very corrupt person.
Very Very True!
Mr Bongolander, are u real a Tanzanian? or may be you a relative to that Man, I can't believe you came up with this article!
Japo umejaribu kujitakasa hayo maneno niliyoweka kwenye red nayarudia tena kwa herufi kubwa kuonyesha msisitizo, YOU ARE AN IDIOT. Kwani nasema hivyo nakunukuu hapo chini
Unataka kusema ATC ilikuwa afadhali wakati wa makaburu japo wametuongezea deni tunalowalipa for not only doing nothing but also stealing from us? What about Net Group Problems? Kaa kimya ufurahie matunda ya ujambazi kuliko kututukana waziwazi.
Hapa jisemee mwenyewe, angalia vitendo vyako ambavyo vinajidhihirisha kutokana na utetezi wako. Kuleta TX mgodini anayefundishwa kazi na wazalendo aliowakuta pale halafu analipwa mara kumi yao ni jambo la kujisifia. Kisha akipata hela zake je akaunti yake iko NMB? Usituchefue hapa. Eboo! Narudia tena you are an idiot.
Mkulu nadhani hiki kipengele ndo kimebeba uzito wa thread nzima. Ubarikiwe sana mkuu.
I have to be honest, mimi ndipo nadiffer na akina Mwanakijiji (people I admire) wanapotaka kutuaminisha kwamba Nyerere ndo alikuwa kiongozi mwadilifu sana. Maybe, maybe not. I dont blame him. After all mda wa kulaumiana haupo tena. Lakini tuwe wawazi. Nyerere might have been a good leader..lakini mzee huyu alishindwa kututengenezea misingi/structures za nchi. Kiukweli katika misingi ya utawala bora..huyo Mzee-I am afraid-ana score zero.
Katiba tuliyonayo leo..ni takataka aliyotuachia na..CCM hawawezi kuibadilisha kwa sababu ndo inawafanya wabaki madarakani..... he might have been mtakatifu..lakini na kusoma kote wanafilosophia..hakujua ni jinsi gani..absolute power inavyo-corrupt?
To me, kiongozi madhubuti ni yule anayeangalia miaka kumi, ishirini itakuwaje. Nyerere..inawezekana alikuwa na mapenzi mema na nchi yake..lakini ukweli..kama huyu mzee angetuwekea misingi ya katiba inayoeleweka..I am sure we would be doing much much better.
Naomba nisieleweke kwamba nalaumu tuu..hapana..lakini najaribu kuonyesha kwamba bila misingi madhubuti ya kuwachukulia hatua/accountability viongozi..hatuwezi kutegemea mabadiliko yoyote. And we simply dont have those means. Leo watu wanaiba na impunity...hivi kweli katika mazingira kama hayo..bila kuwa responsible citizenship..twaweza songa mbele?
Wapinzani nao wamejichokea tuu..hawajui ni agenda gani ya muhimu katika maisha ya wale wanao wapigania..pathetic..
Moja ya sifa ya ungozi ni kujua tabia na saikojia ya unaowaongoza.Ben (mwandishi wa habari na mpenda kusoma) alitujua na mpaka leo anatujua tabia yetu.
Ugonjwa wa tanzania ni kama mtu mwenye jipu, ukitaka ulisogelee kukamua anakufukuza.Hatutaki kuambiwa ukweli na tunataka kuonyosha vidole kwa wengine.
Nashangaa mnasema watanzania wengi wako nje, believe me si kama mataifa mengine ya Afrika, Kenyan, western afrika, wako nje kama kwao vile.Lengo la kusema hivi ni kuwa sisi ni waoga, tumedumazwa, elimu yetu siyo ya Objectively ila subecjtively.
Confidence ndogo, uvivu jadi yetu, kuishi kwa kushindana na kujua nani kafanya nini is part of our culture(kamuulize Shigongo).
The only way that can add value in human life is WORK, thats all, siyo ubosi kama elimu yetu ya vyuoni inavyotufanya tuamini. As a result tuna watu wengi wenye uwezo wa kukaa ofisini, they are not creative! these are very same people that catch any 'opportunity' in their workstations
Nyerere alijitetea na kusema alichukua nchi ina wahandisi wawili, leo hii tunao maelfu, where are they?I know the best genius students(Ilboru, Mzumbe, Kibaha) in this country ndio wengi wamesoma uhandisi wa umeme! yet tunajitetea siasa inawaingilia, wanasiasa hawa wametoka wapi?
We have problems, we are the part of it.
Nikatoa hoja siku moja kuwa Kama Mkapa kafanya hivyo where is the problem, Mkapa au system yetu? na solution ni kulilia system ibadilike au kumsema Mkapa, nani ambaye anaweza kuthibitisha kama angekuwa Ikulu asingeiba? katika sisi wanadamu? wengine watasema Nyerere,WELL Nyerere hakuwa system, hakuwa nchi, hakuwa sheria, hakuwa katiba na hatakuwa katiba, alifail kwa kuweka System mbaya kwa sababu yeye ni 'mtakatifu' basi woote wako hivyo hivyo! as a result wezi wakubwa wote wa nchi hii ni 'watoto wa Nyerere'
Mamlaka ya rahisi inabidi yapunguzwe, katiba ibadilishwe, serikali iwe ya umoja wa vyama vyote MMEISHWAHI KUSIKIA VYAMA VYA UPINZANI WANAANDAMANA NA KUTOKA DAMU KWA SABABU YA KULILIA HAYA MAMBO?? hii si dalili tosha ya kuwa tuna ulemavu wa ubongo, kama vyama vya upinzani havijui wajibu wao, kesho wanaenda kwenye uchaguzi wakijua wanshindwa, HUKO MAOFISINI NA MAKAZINI je!! si same-like story
Who said Mkapa was wrong anyway??
Sipati picha kama Mkapa angekuwa madarakani mpaka leo!!!!!!
Hayachefui labda kama hutaki kukubali kuwa binadamu anaongozwa na sheria, system na taratibu walizojiwekea, leo tunalia Mkapa hatuwezi kumshtaki kwa nini? Binadamu tuna hulka ya umimi,kutaka vingi na security, kama mtu anaona ana uwezo wa kuchukua kitu fulani na hataulizwa huoni ni hatari kwa tabia ya binadamu.Huoni maneno yangu yanathibitishwa na wingi wa jela kila kona dunia hii.Kama wewe unasema ungepata cheo cha Mkapa usingeiba ni wewe ila wengi ni wezi ndugu yangu.Tunazuia wezi kwa sheria kali.
Mimi napinga kitendo chako cha kutaka kujustify maovu ya mkapa simply kwa sababu hatuna sheria kali zinazowabana viongozi wetu. Kitendo cha kusema hata wewe ungekuwa Ikulu you would have done the same, ni cha kinyama na kizandiki to say the least !
Waberoya , mimi naamini ya kuwa mwanadamu lazima uwe na value ambazo zitakuongoza katika maisha yako ya kila siku . Moja ya sababu inayowafanya watu waogope kuua , sio adhabu ya kifo peke yake ; bali ni maadili yao na unyama wa hicho kitendo. Hata kama tutakuwa tuna sheria kali, kama atutakuwa misingi binafsi imara tutakuwa tunapoteza muda. Vile vile lazima ujue ya kuwa ,two wrongs don't make a right kutokuwa na sheria hakualalishi mtu kuiba! Vipi kama watu kama kina Nyerere wangekuwa na mawazo kama hayo ?
Kusema ukweli kauli yako sio tuu imenikwaza bali imenialibia siku yangu. Zaidi, ni kauli kama hizi ndio zinastawisha tabia chafu za ubinafsi.
Salute mkuu. Ben alikuja na idea nzuri, yaani kuuza makampuni yaliyokuwa yana underperfom, tulitegemea kuwa yakiuzwa yataperfom na yatawanufaisha zaidi watanzania kuliko ilivyokuwa mwanzo. That is what we were told and that was what we were expecting, not what has come out to be ujanjaujanja, we did not know that someone was trying to buy a mine for himself( labda alikuwa namuwezesha mzawa-yeye mwenyewe)
Niliwahi kufanya ka-research kadogo wizara ya viwanda mwaka 1994, nikakutana na Mkurugenzi mmoja wa viwanda wakati ule. Akaniambia sababu kubwa za kufa kwa viwanda hivyo ni kama zifuatazo;
1. Ukosefu wa mitaji, pamoja na uwekezaji mdogo wa serikali kwa viwanda vyake
2. Uongozi mbovu: Kitaaluma, pamoja na zoefu wa kuendesha viwanda kibiashara
3. Utunzaji mbovu wa mali, ikiwa ni pamoja na periodic maintenance za vifaa vya viwandani na mitambo
4. Uzalishaji wa bidhaa duni unaotokana na uchakavu wa mitambo (kutokana na mitambo mingi kuwa ya zamani sana)
5. Ufujaji wa makusudi unaofanywa na viongozi wa kisiasa kwa manufaa binafsi, ya serikali na ya chama.
6. Mengine mengi: Ikiwa ni pamoja na ushindani wa kibiashara kutokana na bidhaa za bei rahisi zilikuwa zikiingia kwenye soko n.k.
Wakuu, hata kama viwanda hivyo vingepewa wananchi (ambao wengi wao walikuwa na uwezo mdogo wa kuviendesha kiuchumi) hakuna la manufaa ambalo leo tungekuwa tunaliongelea. Sababu ni kwamba, viwanda hivyo vilihitaji uboreshaji mkubwa sana, ambao kwa namna nyingine ni kama kuvianzisha upya.
Mkapa anaweza kuwa alifanya makosa sana kubiafsisha viwanda, mashirika na vitega uchumi kama alivyofanya. Lakini je, nini ingekuwa njia mbadala ya kukuza uchumi katika hali ambayo vitega uchumi hivyo vilivyokuwa? Labda tukipata jibu ya swali hili, tutatoa hukumu sahihi.