GE2025 Warudisha kadi za CCM wadai hawatashiriki uchaguzi

GE2025 Warudisha kadi za CCM wadai hawatashiriki uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Hali ya kisiasa katika kata ya Msimbati imechukua mkondo wa taharuki, baada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa hawatashiriki kupiga kura kufuatia jina la diwani wao kukatwa kwenye mchakato wa uteuzi.

 
Hali ya kisiasa katika kata ya Msimbazi imechukua mkondo wa taharuki, baada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa hawatashiriki kupiga kura kufuatia jina la diwani wao kukatwa kwenye mchakato wa uteuzi.


Hii ni Msimbati "N'twara" na sio Msimbazi...

Hata wanavyoongea tu unasikia lafudhi ya kimakonde...
 
Hali ya kisiasa katika kata ya Msimbati imechukua mkondo wa taharuki, baada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa hawatashiriki kupiga kura kufuatia jina la diwani wao kukatwa kwenye mchakato wa uteuzi.

Siasa sio kila tunachotaka au Mgombea unayemtaka ndio apite. Kama wanamtaka yeye basi waanzishe chama chao tuone kama na wao hawatagombana!
 
Duh mnavyopelekeshwa na kulazwa juwani 😄

Ova
hakuna haja ya kubabaika na asieheshimu maamuzi ya vikao kwa manufaa ya chama na wananchi kwa ujumla gentleman.

vyama makini kama ccm, hufanya maamuzi magumu kwa umakini wa kiwango cha juu sana kwa masilahi ya chama, serikali na waTanazia wote :NoGodNo:
 
Mwaka huu watu watepewa pesa na kubembelezwa kwenda vituoni kupiga kura..!!
si kweli ndugu mdau,
hiyo ni ramli ya upotoshaji


mamilioni kwa mamilioni ya waTanzania wazalendo, watajitokeza kupiga kura kwa hiyari yao na kutumia haki yao ya msingi kikatiba bila mbambaba yoyote:NoGodNo:
 
si kweli ndugu mdau,
hiyo ni ramli ya upotoshaji


mamilioni kwa mamilioni ya waTanzania wazalendo, watajitokeza kupiga kura kwa hiyari yao na kutumia haki yao ya msingi kikatiba bila mbambaba yoyote:NoGodNo:
Hamna watanzania tumewakataa na mbaya zaidi mpk wanachama wenu hawawataki..!!

Hamna kipindi veggies hampendwi km ss hivi mjitafakari sana..!!
 
Back
Top Bottom