Huyu makupa si ulisema Unawachukia wachaga!
Huyu makupa si ulisema Unawachukia wachaga!
Mi nadhani tukiwaondoa hao Watani zetu, wengine wote (Warombo, Wavunjo, Waold Moshi, Wauru, Wamachame, Wanarumu, Wasiha na Wakibosho) ni WACHAGGA. Kinachotutofautisha ni DIALECTS!
Kila jamii moja ilipokuwa inatenganishwa na nyingine na labda msitu mnene, mto mkubwa, bonde, mlima n.k, hapo huzaliwa dialect mpya ambayo si tofauti sana na Lugha Mama.
Hata desturi na mila zinafanana sana. Tofauti ni ndogo kati ya sehemu na sehemu zinazotenganishwa na mto, misitu au milima