Warning ! >Usinunue USB Flash drive aina Ya Kingston (Tanzania)

Warning ! >Usinunue USB Flash drive aina Ya Kingston (Tanzania)

  • Imation
  • Sandisc
Kwangu mimi Flash bora ni yenye hivi vigezo viwili
  1. Uweze kui_format katika NTFS file system
  2. Pia ikubali kutumika kama Bootable USB/HDD ili kufanya instalation ya windows
Kuna hizi flash za ADATA, kingstone na baadhi ya transend hazina sifa na.2,
Kweli kabisa kiongozi.
 
  • Imation
  • Sandisc
Kwangu mimi Flash bora ni yenye hivi vigezo viwili
  1. Uweze kui_format katika NTFS file system
  2. Pia ikubali kutumika kama Bootable USB/HDD ili kufanya instalation ya windows
Kuna hizi flash za ADATA, kingstone na baadhi ya transend hazina sifa na.2,

Natumia ADATA na inapiga poa tu, toka mwaka 2011

GB 8 na haijapungua
 
Natumia ADATA na inapiga poa tu, toka mwaka 2011

GB 8 na haijapungua
  • Je umeshawahi itumia kufanya installation ya windows?. Kwangu sijawahi fanikiwa kwa kutumia ADATA.
 
Natumia ADATA na inapiga poa tu, toka mwaka 2011

GB 8 na haijapungua


Adata ni flash nzuri sana !

Mi ninayo 16GB na inapiga kazi flesh tu ! Na nnayo 4 GB ambayo ni bootable ! With windows 8

SanDisk za plastic zile red & black zimeisha corrupt !
 
Sikubaliani na suala la hizi flash kuathiriwa na virus kirahisi....but kiukweli ni moja ya brand zenye fake nyingi na ndio zilizopo mtaani kwa kiasi kikubwa. Na matatizo ambayo nimeyaexperiance ya hz flash haswa zenye ukubwa wa kuanzia 8GB moja ni kucorrupte kwa file haswa unapohamishwa kutoka pc moja kwenda nyingine haswa video na software, pili ni kusumbua kuhamisha vitu. Na moja la maajabu kabisa nililokutana nalo wiki hii, nilikuwa na flash aina hii ya 8GB, nikaiweka linux ili iwe bootable but baada ya kumaliza kazi yangu, kuifomart hii flash imeshuka imekuwa 689MB

kuna hidden files zimebaki humo na unaweza ziona kupitia terminal ya linux kama unajua vizuri commands mkuu
 
Back
Top Bottom