Warning ! >Usinunue USB Flash drive aina Ya Kingston (Tanzania)

Warning ! >Usinunue USB Flash drive aina Ya Kingston (Tanzania)

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,523
Reaction score
2,162
20100905162526.jpg

Flash aina hii (kingstone) ni Mbovu sana (Feki)
hazidumu na zina matatizo mengi ! Na mostly zinakuwa attacked na virus kirahisi sana !

Zinazoingizwa Tanzania nyingi ni Fake brand !
 
chumvi, flash feki haiwezi kuwa attacked na virus kiurahisi zaidi.
 
chumvi, flash feki haiwezi kuwa attacked na virus kiurahisi zaidi.

Sarcasm

Sijamaanisha kuwa flash feki ndizo zinazakuwa attacked na virus kiurahisi ! Naelewa vizuri tu utendaji kazi wa hizi drives

MAREJEO
Flash aina hii (kingstone) ni Mbovu sana (Feki)
hazidumu na zina matatizo mengi !

Na mostly zinakuwa attacked na virus kirahisi
sana !
Zinazoingizwa Tanzania nyingi ni Fake
brand !


Nadhani imeeleweka !
 
100% 100% ni kweli kabisa, Flash inayoweza kuharibiwa na Virus......
 
Sikubaliani na hoja hii. Matumizi mabaya ya flash disks ndiyo hupelekea kusababisha corruption na uharibifu wa storage. Mfano unaondoa bila kufanya safe removing wakati flash ipo open/inatumika kwenye pc. Na kuhusu virusi kwa kuwa umesema ni sarcasm. Kiukweli almost kila bidhaa inayolipa sana lazima itakuwa na fake yake tu Lakini siyo kwamba hizi flash ndiyo fake.
 
Sikubaliani na suala la hizi flash kuathiriwa na virus kirahisi....but kiukweli ni moja ya brand zenye fake nyingi na ndio zilizopo mtaani kwa kiasi kikubwa. Na matatizo ambayo nimeyaexperiance ya hz flash haswa zenye ukubwa wa kuanzia 8GB moja ni kucorrupte kwa file haswa unapohamishwa kutoka pc moja kwenda nyingine haswa video na software, pili ni kusumbua kuhamisha vitu. Na moja la maajabu kabisa nililokutana nalo wiki hii, nilikuwa na flash aina hii ya 8GB, nikaiweka linux ili iwe bootable but baada ya kumaliza kazi yangu, kuifomart hii flash imeshuka imekuwa 689MB
 
Sikubaliani na suala la hizi flash kuathiriwa na virus kirahisi....

Tujiulize mojawapo ya sababu inayopelekea corruption ya hizi flash !

but kiukweli ni moja ya brand zenye fake nyingi na ndio zilizopo mtaani kwa kiasi kikubwa. Na matatizo ambayo nimeyaexperiance ya hz flash haswa zenye ukubwa wa kuanzia 8GB moja ni kucorrupte kwa file haswa unapohamishwa kutoka pc moja kwenda nyingine haswa video na software, pili ni kusumbua kuhamisha vitu. Na moja la maajabu kabisa nililokutana nalo wiki hii, nilikuwa na flash aina hii ya 8GB, nikaiweka linux ili iwe bootable but baada ya kumaliza kazi yangu, kuifomart hii flash imeshuka imekuwa 689MB


====> Kuingiliwa ! (hii hutokea kwa flash aina nyingi tu)

====> Kuathiriwa (affected)!

Hii ndo misunderstanding kubwa sana iliyopo !

Moja ya sababu inayopelekea corruption ya hizi flash za kinston ni virus na hii hutokana na weakness ya drivers zake !

Unaweza kukutana na virus wa aina flani kwenye flash ya aina nyingine na ukamtoa kirahisi kuliko Utakae kutana nae kwenye kingston akiwa wa aina moja !

Na baadhi unaweza kumtoa ! Lakini utakutana na poor perfomance ya flash yenyewe !
Mfano !

Utakuta ! Ukiweka nyimbo za audios hazi play
na ukiweka videos zina play !

Na pia ukashindwa kudelete files zilizopo ! Na ukashindwa kuingiza files nyingine !

Na kadri unavyoiformat ndivyo unavyozidi kuharibu ! Tu
 
Flash orignal pale duka la sony mlimani city wanauza flash moja ya gb 4 inafika mpk 30,000 ukizoe a feki hii pesa utaiona nyingi sana.
 
"...Na mostly zinakuwa attacked na virus kirahisi sana !"


SIYO KWELI

Nakubaliana na wewe. Ni juzi tu dogo mmoja alinifanya nicheke maeneo ya kariakoo kwa hiivkauli yake nanukuu. " ……KAKA USINUNUA HIYO MEMORY CARD YA GB 1 INAINGIZA VIRUS SANA, WE NUNUA YA GB 2 HIYO NDO YENYEWE HAIINGIZI VIRUS KABISA" mwisho wa kunukuu.

Back to topi
>> flash nzuli ni hizi za imation.
 
Naunga mkono hoja, KINGSTONE Data traveller ni hovyo kabisa kupita maelezo. Zinafuga virus wa Trojan hata ufanyeje hawatoki. Halafu ukitumia siku mbili tu inaanza kukuomba uiformat na haifunguki ndiyo inakuwa mwisho wake. Sasa hivi natumia SanDisk angalau inajitahidi ingawa na yenyewe sometimes inazingua.
 
Nakubaliana na wewe. Ni juzi tu dogo mmoja alinifanya nicheke maeneo ya kariakoo kwa hiivkauli yake nanukuu. " ……KAKA USINUNUA HIYO MEMORY CARD YA GB 1 INAINGIZA VIRUS SANA, WE NUNUA YA GB 2 HIYO NDO YENYEWE HAIINGIZI VIRUS KABISA" mwisho wa kunukuu.

Back to topi
>> flash nzuli ni hizi za imation.


Kwa level ya huyo Dogo !
We ndiye haukumwelewa Vizuri !
!
 
Weka solution tutumie flash gani?
  • Imation
  • Sandisc
Kwangu mimi Flash bora ni yenye hivi vigezo viwili
  1. Uweze kui_format katika NTFS file system
  2. Pia ikubali kutumika kama Bootable USB/HDD ili kufanya instalation ya windows
Kuna hizi flash za ADATA, kingstone na baadhi ya transend hazina sifa na.2,
 
Back
Top Bottom