englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Sickening moment ISIS barbarians chop off a thief's hand with a meat cleaver in front of a baying crowd
Sickening moment ISIS barbarians chop off a thief's hand with a meat cleaver in front of a baying crowd
Most likely from hellThese people..... hideous!
No wonder, they are amongst the best world's drug-dealers(Pakistan, Afghanistan and the like).Most likely from hell
Wao ni wasafi kiasi gani? Wao ni wakamilifu kiasi gani? Pamoja na hilo lakni huko kuna something very wrongInawezekana wanatekeleza sheria walizojiwekea wenyewe. Kwahiyo mtu anayekiuka anafanya hivyo akijua kabisa atakumbana na adhabu gani.
Nope! Ni wakulima wazuri wa dawa za kulevya. Lazima wanatumia na zinawaendesha kufanya vitu kinyume na utu. Hii fact huwa inafumbiwa macho.Inawezekana wanatekeleza sheria walizojiwekea wenyewe. Kwahiyo mtu anayekiuka anafanya hivyo akijua kabisa atakumbana na adhabu gani.
Hata pombe si nzuri sana kwa afya ya akili hasa inapotumika kama jinaNope! Ni wakulima wazuri wa dawa za kulevya. Lazima wanatumia na zinawaendesha kufanya vitu kinyume na utu. Hii fact huwa inafumbiwa macho.
Duh! Hujazingirwa hadi dakika hii mkuu au ndiyo maana umekimbia?Hata pombe si nzuri sana kwa afya ya akili hasa inapotumika kama jina
Duh! Hujazingirwa hadi dakika hii mkuu au ndiyo maana umekimbia?
Back to a thread, we better chop our money rather than chopping someone's organ!
Hapa kwetu kiasi tuko poa. Ila wale jamaa hata kupiga ka - njimbo robo lita unashughulikiwa "kweri kweri"!Hili ni kuhusu huko pekee au hata Tanzania?!
Nope! Ni wakulima wazuri wa dawa za kulevya. Lazima wanatumia na zinawaendesha kufanya vitu kinyume na utu. Hii fact huwa inafumbiwa macho.
Hizo ni sheria ya kiislamu hasa kipindi hiko ambapo hapakuwa na Mahakama ila sasa kuna mahakama nataratibu zengine sijasema sheria za kiislamu zisifuatwe ila come on its 21century
Aaaaa mkuu, tena? Hata hilo ni jambo baya pia. Maana yake ni kuwa kila jamii ina mazuri yake na mabaya vilevile.Ni kweli, utu ni kumchoma moto mwizi mpaks afe