nasikia kuna mtu alikua kalala akasikia anavutwa,kushtuka akaona ni nyoka anammeza kuanzia pande za miguu,akackomoa kisu taratibu afu akaanza kumchana nyoka kadri alivkua anamezwa,luckily alisurvive na nyoka alikufa sema alikua na diferent colour sehemu yote iliokua imemezwa,the place where it took place is kilimanjaro
Mh! alikuwa na rangi gani
Mbona mtu mwenyewe anaonekana mweusi ukilinganisha na hao waangaliaji? na isitoshe kimo chake nacho naona kama tofauti pia!!!!