Warm welcome in Jamaica for Uhuru

Warm welcome kwa sababu ya Uhuru Kenya au sababu ya Raisi wa Kenya? Unafikiri ungekuwa wewe in Raisi wa Kenya Jamaika wangekunyima ,, warm welcome“ ?
 
Warm welcome kwa sababu ya Uhuru Kenya au sababu ya Raisi wa Kenya? Unafikiri ungekuwa wewe in Raisi wa Kenya Jamaika wangekunyima ,, warm welcome“ ?
Joseph Hill named his son "Kenyatta" ,there is a song Harambee by Rita Marley ..Jamaicans just love Kenyans not something small as u think infact they dont know who the hell Magufuli is or even what Tanzania is
 
1.PNG
 
Joseph Hill named his son "Kenyatta" ,there is a song Harambee by Rita Marley ..Jamaicans just love Kenyans not something small as u think infact they dont know who the hell Magufuli is or even what Tanzania is


Ohh kumbe ni TZ vs Ke ? Sikulijua hilo nilifikiri ulishindwa kuelewa kwa nini Raisi wa nchi ya Kiafrika anapewa ,,warm welcome“ , jambo ambalo ni kawaida kwa nchi za Kikaribiki zenye watu wenye asili ya Afrika.

Kuhusu Magu, Watanzania wanamfahamu hata Wakenya pia wanamfahamu, Raisi Uhuru Kenya alikuwa TZ akaturudishia dhahabu yetu, na hiyo inatosha sidhani kama Magufuli anajali kama Jamaika wanamjua au lah, sidhani kama ni mtu type hiyo.
 
Ohh kumbe ni TZ vs Ke ? Sikulijua hilo nilifikiri ulishindwa kuelewa kwa nini Raisi wa nchi ya Kiafrika anapewa ,,warm welcome“ , jambo ambalo ni kawaida kwa nchi za Kikaribiki zenye watu wenye asili ya Afrika!
I told you kenya nad Jamaica has that thing u cant explain
 
The Rastafarian movement was partly inspired by the MauMau That's why they keep dreadlocks
 
The journey of dreadlocks: From the forests of Kenya, to the corporate offices of America.
The Rastafarian movement was partly inspired by the MauMau That's why they kept dreadlocks
Watu wengi huwa wanadhani kwamba mtindo wa kusokota nywele, almaarufu kama 'rasta', uliibuka kwa waumini wa Rastafari kule Jamaica. Wao wenyewe waliiga mtindo huo miaka ya 1950's kutoka kwa Mau Mau, kikundi cha wakombozi ambacho ndio kilikuwa 'inspiration' kuu ya 'warasta'.
 
Tanzania and Jamaica are having the fruitful bilateral relationship long time, from Nyerere tenures up to date, Tanzania heads of state have done several state visits to Jamaica in different tenures.

Screenshot_2019-08-09-18-17-39.png
IMG_0044.JPG
 
Ohh kumbe ni TZ vs Ke ? Sikulijua hilo nilifikiri ulishindwa kuelewa kwa nini Raisi wa nchi ya Kiafrika anapewa ,,warm welcome“ , jambo ambalo ni kawaida kwa nchi za Kikaribiki zenye watu wenye asili ya Afrika.

Kuhusu Magu, Watanzania wanamfahamu hata Wakenya pia wanamfahamu, Raisi Uhuru Kenya alikuwa TZ akaturudishia dhahabu yetu, na hiyo inatosha sidhani kama Magufuli anajali kama Jamaika wanamjua au lah, sidhani kama ni mtu type hiyo.
Wacha kujidanganya aise ,unajua vizuri sana pia Tanzania mngependa sana kufahamika na kuigwa na wengi huku African diaspora ya Americas and the Caribbean countries.
 
Joseph Hill named his son "Kenyatta" ,there is a song Harambee by Rita Marley ..Jamaicans just love Kenyans not something small as u think infact they dont know who the hell Magufuli is or even what Tanzania is
I've seen many American girls named Kenya and a bunch of black people in the western world named Kenyatta .Isitoshe pia kule Disneyland kuna train station inaitwa "Nairobi Railway station' . For our Tzedian competitors i've never seen Americans naming themselves Nyerere au train station named Dar station.
 
Wacha kujidanganya aise ,unajua vizuri sana pia Tanzania mngependa sana kufahamika na kuigwa na wengi huku African diaspora ya Americas and the Caribbean countries.


Katika circle yangu sijawahi kusikisia hata mtu mmoja akiongelea kuhusu Jamaika, hivyo sidhani kama kwa Mtanzania wa kawaida ni muhimu kwake kujulikana na Jamaika.
 
Back
Top Bottom