Warioba unageukageuka sana kuna nini unacho kiogopa?

Heshima mkuu
Nimevutiwa na hoja yako. Sielewi unasema nini unapotuambia kuwa tuangalie Ghana wanafanya nini kuhusu sekta ya madini. Una maana kuwa kitu watakachofanya wenzetu tuige tu hata kama ni kibaya? Una maana Mramba na Yona hawawezi kutumia udhaifu wa sheria zetu kufanya uhalifu wa kujinufaisha na kuliingizia hasara taifa? Una maana gani unaposema serikali imelamba galasa kwa kuwafikisha kina Yona na Mramba kwenye mikono ya sheria. Unaweza kueleza ni vipi mtumishi wa umma anaweza kuwa na mali za zaidi ya shilingi bilioni tano, na mjukuu wake ambaye hata hajafikisha miaka 10 anakuwa na hela za kweza kumbail babu yake, Au hizi ni porojo tu?
Unajua kuwa issue kubwa inayotukabili sasa ni EPA, kina Mramba wamefikishwa mahakamani kwa kuliingizia hasara taifa kama kuwafumba macho watanzania, na mii naona ni njia ya kuwafanya wakwepe EPA kiujanja, the game being played is fooling international community so as they can keep on pumping money in, not really rooting out graft. Mimi niko pessmistic sana na mwenendo mzima wa EPA naona kama kuna mchezo unachezwa, lakini this does not mean that jamaa hawana la kuwajibika nalo. Hata Ben ana mengi ya kuwajibika nayo, he oversaw the masacre in Zanzibar hiyo ni kesi tosha tu, kuna uhalifu mwingine unafanyiika huku ukiwa covered na sheria, lakini hili halina maana kuwa huo si uhalifu. Sema tatizo letu ni kuwa hatuna uwezo na ubavu wa kumfikisha mahakamani mpaka walio madarakani waamue.



Yes. Hakuna anayebariki ufisadi. Ila baadhi ya msingi ya kiutawala inaweza kuwafanya mjikute kwenye huo ufisadi. Hivyo ndivyo ilivyo. Kwa mfano madaraka aliyopewa DPP ni makubwa sana. Anaweza yeye kwa matakwa yake akaifuta kesi yoyote bila kuulizwa na mtu yoyote. Na imo kwenye sheria za nchi. Sasa inapotokea kuna corrupt leaders na yeye akawa corrupt unategemea nini hapa?

Kwa hiyo issue siyo kupiga kelele kuhusu Mafisadi au matumizi mabaya ya ofisi. Ni lazima kwanza tupige kelele hizi kanuni/sheria ziondolewa au zibadilishwe then the rest can be easily tackled.

It is very hard/impossible to incriminate Mramba/Yona.
 
Warioba ana issue ambayo ingelikuwa nzuri km angelitumia vema alama zake za addition na subtraction. Angeunganisha hoja yake kwa alama ya "+", hoja hiyo ingelikuwa na uzito, lkn amefanya: hoja yake - ufisadi = umuhimu. This is ridiculous!
 
He is involved in Tangold. We do not know why but we will find out soon. Time will tell.
 
Kwani warioba anamiaka mingapi ?,isijekuwa uzee unamsumbua lakini uongozi wa mafisadi ndio uliotufikisha hapa,yeye hajui hilo kwani bado anagharamiwa na serikali.

nilisoma naye darasa moja na mimi sijafika miaka 70. sasa sana atakuwa umri sawa na mimi au mramba- miaka 69 tu.

macinkus
 
nilisoma naye darasa moja na mimi sijafika miaka 70. sasa sana atakuwa umri sawa na mimi au mramba- miaka 69 tu.

macinkus

Hongera mkuu, kama una miak hiyo si haba! na kama kwa umri wako umeweza kwenda na spidi ya utandawazi kwenye mawasiliano si haba. naamini unakula pensheni sehemu fulani hongera tena!
 
Huyu Warioba sasa nadhani anachanganyikiwa kwa vile nae wamesema watampadisha kizimbani kuhusiana na mgodi mmoja wa dhahabu sasa anaona afadhakli awapoze pengine watamhurumia! Anazungumzia kutatua kero za wananchi; utawezaje kutatua shida za wananchi bila kuwa na resources na hizo ndizo hao mafisadi wamezikomba kwa kutumia powers tulizowapa? Kama viongozi ni corrupt kama alivyokuwa Ben, ni lazima wahukumiwe na waadabishwe kwasasbabu matendo yao yamewatesa mamilioni ya watu na wengine kufa.Regime vchange is necessary whenever there is a failure in leadreship!! Nature abhors a vacuum!!
 
.........I don't thnk you need to read something you don't understang.........

It is not about not understanding what you wrote ... it's rather your choice of words in your article! .... if you want a decent debate you need to repect the people in this forum .... go back and read what you have written.

And then you write this:

Yes. Ghana wanachukua 4% mrahaba wa madini wakati Nigeria number six Duniani kwa petrpleum wanamakata only 31% ya mapato ya mafuta. SA wenyewe kwa kuwa wana miundo mbinu mizuri wamefanikwa kupata 12% out of minerals kama mrahaba. This is the highest in the World. Wengine wapo kati hapo. Tz?

Hujawahi kujiuliza, hawa Nigeria pamoja na wealthy yote hii waliyonayo inakuwaje life is so moserable kule that they are all over the World doing filthy works??


Do you really understand the difference between minerals tax regime and oil & gas tax regime?
 
"Yes. Ghana wanachukua 4% mrahaba wa madini wakati Nigeria number six Duniani kwa petrpleum wanamakata only 31% ya mapato ya mafuta. SA wenyewe kwa kuwa wana miundo mbinu mizuri wamefanikwa kupata 12% out of minerals kama mrahaba. This is the highest in the World."


Sasa wewe mwenyewe mbona unajichanganya. Tanzania tunachukua 1.1% tu, Baada ya Alex stewart kulamba 1.9% ya ile 3% mrahaba. Halafu unasema huoni tatizo la mikataba mibovu walioingia wakati mifano ya nchi nyingine unayo.
 
"Yes. Ghana wanachukua 4% mrahaba wa madini wakati Nigeria number six Duniani kwa petrpleum wanamakata only 31% ya mapato ya mafuta. SA wenyewe kwa kuwa wana miundo mbinu mizuri wamefanikwa kupata 12% out of minerals kama mrahaba. This is the highest in the World."


Sasa wewe mwenyewe mbona unajichanganya. Tanzania tunachukua 1.1% tu, Baada ya Alex stewart kulamba 1.9% ya ile 3% mrahaba. Halafu unasema huoni tatizo la mikataba mibovu walioingia wakati mifano ya nchi nyingine unayo.



Somo mjadala toka mwanzo. Umedandia ndiyo maana unatoa comments hizi
 
Hii ni mada kushika kasi ama watu kuchanganya madawa kwa makusudi ili hoja isijadilike au ndiyo mifano ya kujadili hoja ya Waryuba ?
 
Warioba anahisi kukalia kuti kavu kwamba soon lita anguka ama inakuwaje ?
 
It is not about not understanding what you wrote ... it's rather your choice of words in your article! .... if you want a decent debate you need to repect the people in this forum .... go back and read what you have written.

And then you write this:

Yes. Ghana wanachukua 4% mrahaba wa madini wakati Nigeria number six Duniani kwa petrpleum wanamakata only 31% ya mapato ya mafuta. SA wenyewe kwa kuwa wana miundo mbinu mizuri wamefanikwa kupata 12% out of minerals kama mrahaba. This is the highest in the World. Wengine wapo kati hapo. Tz?

Hujawahi kujiuliza, hawa Nigeria pamoja na wealthy yote hii waliyonayo inakuwaje life is so moserable kule that they are all over the World doing filthy works??


Do you really understand the difference between minerals tax regime and oil & gas tax regime?



Bado huelewi wewe. Soma tena na tena!. Then uliza tu utapa jibu sahihi. Ghana na SA wana oil wapi? Moreover, tax regime, iwe ya oil& gas au yoyote ile huwa ni country specific. Usiongee vitu hovyo hovyo humu
 
Ni lazima ang'ate na kupuliza!!! Kwani ile saga ya coy ya madini shareholding with the Bank of Tz ambayo nayo inachunguzwa atapona!!!! Ameshtuka mkulu anakuchekea huku maji yanachemka!!! ila ndo hivyo tena politics ni dead game!!
 
Jaji Warioba: Hii Ni Hatari
...
"Wanazungumzia nani fisadi, kutueleza mambo yao ya uongozi. Vipaumbele vyetu vinaanza kupotoshwa. Maendeleo hayawezi kuletwa na viongozi na serikali.

Yataletwa na wananchi, serikali inatunga sera tu na kuzisimamia. Yanayokuja sasa ni lawama tu," alisema na kuongeza:"Vyombo vya habari mtusaidie, utawala bora ni kitu muhimu, lakini watu wanahitaji msaada.
...

Anasema maendeleo hayaletwin na viongozi ...

....
Kuhusu Rais mstaafu Mkapa, huku akishika tama, Jaji Warioba alisema: "Huyu alikuta mfumko wa bei ukiwa zaidi ya asilimia 30, ameondoka uko chini ya asilimia tano."Amekuta katika huduma ya afya tunategemea vipakiti vya dawa ya misaada kutoka nje, ameondoka hali ya sekta ya afya imeimarika kwa kiwango kikubwa.

Amezikuta shule na vyuo katika hali mbaya, leo kuna mabadiliko makubwa katika elimu. Katika miundombinu, amejenga madaraja na barabara.

"Mawasiliano yamekuwa mazuri. Hata vyombo vyenu vya habari vimeongezeka na mawasiliano ya simu leo unaweza kuzungumza hata ukiwa kijijini. Tumeshausahau uongozi wake."Alisema alifikiri kipaumbele cha viongozi wa serikali na wa upinzani na vyombo vya habari, ingekuwa ni kuhimiza suala kama kilimo ambao huu ndiyo msimu wake, badala ya kukazania kulumbana kuhusu uongozi.
...

Lakini ni sawa kumpa credit kiongozi kwa maendeleo yaliyotokea ....

Kwa kifupi anasema matatizo yote mnajitakia wenyewe, mafanikio yote yanaletwa na viongozi wenu.

Well, hiyo argument viongozi wengi huwa wanitumia sana, kwa hiyo hayuko peke yake. Lakini kumsikia yeye tena akiitumia inaniamsha kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom