Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,418
Na watu wa aina yake wapo wa kutosha. Hawa ndo Faizafoxy anasema walikwenda shule kusomea ujinga.Mkuu watu kama hawa ndiyo wanaotucheleweshea ukombozi wa hii nchi..
Ukiwa na mawazo kama ya huyo jamaa, lazima yaani unaumwa na kustahili kupatiwa matibabu ya afya ya akili.