Warioba katika 'dakika 45' za ITV akihojiwa kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya...

Wana jamvi kama kweli vijana wa uvccm wana hoja na data za kupangua mawe aliyo toa jaji warioba leo itv tuna wataka watokee hadharani wamjibu mzalendo wetu jaji warioba kada wa ccm nguli na mweledi tangu enzi za mwl nyerere;waje jf watoe majibu msimamo wa serikali mbili wanaupata wapi?kwa data zipi walizo kusanya?

Hakuna jipya ni marudio,kama kero alizotaja ni hizo hizo za kila siku ambazo msimamo ni serikali mbili zatosha na kero zote zinashughulikiwa na uzuri jaji warioba ameeleza kuwa kama zinaweza kushughulikiwa basi serikali mbili ni bomba
 
Lakini lengo ilikuwa ni kuona hii habari live, kwa makusudi au bahati mbaya umeme umekatwa! Usanii mtupu!

usijali ataendelea week ijayo wakikata tena itakuwa wana leo jambo
 
Jaman intarahamwee hyu apa kaja kimgongo mgongo bada ya kupopolewa mawe na baba wa taifa la tanganyika jaji warioba
Pitia posts zangu za nyuma utamjua Ritz vizuri kwenye swala la muungano.

Tatizo lako unadhani katiba inayotafutwa ni ya Chadema.

Acha ushabiki mandazi, sisi wengine hatushikiwi akili kama wewe natumia fikra zangu kuangalia mambo, swala la katiba ni la kitaifa wewe unaleta drama za Chadema na CCM.
 
Last edited by a moderator:
kuwa ccm bana,hata 1+2 utasema jibu lake 2 badala ya 3... warioba amesema hata nyerere hakuwa mbishi,alikua anaenda na wakati sasa anashangaa.....akamalizia kusema,anashukuru wananchi wote kwa kumsikiliza...
 
...


....Kwa heshima ya Warioba naomba kila member humu jamvini akachangie walau daftari moja na kalamu moja kwa shule ya msingi iliyo karibu na eneo analoishi !!!

Kama huna chochote sema "Tanganyika na Zanzibar... daima !!
 
Kile kipande cha hotuba ya mwalimu itv kinachosema.TUNATAKA RAIS ANAYEWEZA KUISIMAMIA KATIBA NA KUILINDA ASIYEWEZA AKASIMAMIE SHAMBA LAKE KULE,mi naona kama anamsema ba riz.
 
Kupitia dk 45 ITV usiku huu, Jaji J. Warioba asema katiba mpya itaondoa kero ya nchi kuwa na maamiri jeshi wakuu 2 wanaopigiwa mizinga 21.
Asema wanaopinga serikali 3 ndiyo wasaliti wa Mwalimu Nyerere aliyeacha nchi hii ikiwa 1, Amiri Jeshi Mkuu 1, Bunge na Mahakama vyenye nguvu
Asema kauli za wabunge kuwa Jeshi litachukua nchi kama serikali 3 zitapita ni uchochezi unaolenga kuwafanya wananchi walichukie Jeshi lao.
Mods naomba sana uzi huu msiunganishe wa s2 waje wajibu haya aliyoyasema jaji warioba
serikali 3 maamiri jeshi 3.
 
Pitia posts zangu za nyuma utamjua Ritz vizuri kwenye swala la muungano.

Tatizo lako unadhani katiba inayotafutwa ni ya Chadema.

Acha ushabiki mandazi, sisi wengine hatushikiwi akili kama wewe natumia fikra zangu kuangalia mambo, swala la katiba ni la kitaifa wewe unaleta drama za Chadema na CCM.

Ni kweli mkuu hata mie nakujua msimamo wako tangu siku ile hoja za lisu pia uliziuunga mkono tatizo watu wanasahau?
 
Itv radio one huwa wanaunganisha matangazo na kipindi pia huwa kinarudiwa muda wa mchana kwa anayejua anaweza kuwajuza wadau waliokosa leo kumsikiliza ndg warioba wapate nafasi nao kumsikiliza,vile vile nitoe wito au ombi kama mwanajamiiforum mtu yeyeto mwenye audio au yutube aweke hapa ili kutoa nafasi kwa watu wengi waweze kumsikiliza huyu kiongozi wetu
 
tatizo kuna watu wengine humu hata hawafatilii vipindi kazi kuropoka tu. Leo jaji warioba kaongea point tupu. Ila mijitu mingnine ya jami forum miccm haielewi utadhani imekunywa virobai
 
Simiyu Yetu warioba kawakimbiza njoo huku ujuwe nini maana ya kuwaenzi waasisi wa taifa hili

Nahao viongozi uchwara wanaotutisha nakutuchonganisha na jeshi letu kwahoja dhaifu eti jeshi watakosa mishahara tuwaeleweje?kwanini jeshi ndio wakose lakini mawaziri,wakuu wamikoa,walimu,police,wakuu wa wilaya nawengine wapate?.Kweli kuwa Ccm nikuchagua kuwana dhambi,Jaji Warioba ameamua kujiondoa sehemu ya dhambi,hila,usariti,chuki,uuwaji,uchawi nakila sehemuya Shetani
Mungu akulinde akuepushe nakila mbinu chafu za Interahamwe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom