Hivi mbona mimi sijawahi kubahatika kuona viumbe wa namna hiii...wanapatikana wapii..!!??Nakumbuka kauli ya mzee mmoja alisema ukitaka nguo utakuta imetundikwa kwenye vinyago/sanamu madukani,na ukitaka mwanamke kwa kuchagua maumbile utawakuta streat wakitembea bila nguo.Hivi ndio hawa pia wanatumiaga TIGO pia...please nisaidiwe kujuzwa jamanii...i need just to see live..!!