Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,152
- 190,688
Unaskia wadada wana compliment kwa mwenzao hivi jamani nyie wakaka romantic and loving namna hii wanapatikanaga wapi?
You women have choices to make in life mjue.
Unahitaji jamaa awe ana cling to you kama hereni na sikio kila mahali upo naye, he gives you all his time of the day akupe nafasi full. Anakudrive mnaenda site pamoja, shopping ama biasharani pamoja. Raha ilioje? Ina gharama zake hii! The man has no activity ya kujitaftia obviously so utajikuta unachopata wewe ndio mnashea it might make you happy or sad as well.
WHILE,
Unakuta jamaa mwengine yupo extremely busy, mtu wa mishe kibao hivi, anasafiri safiri labda. Yuko on a very demanding routine ya kazi. Ndio mshakuwa wapenzi au mke na mume ila hana muda na wewe kabisa ila uhakika wa mipunga upo kwa ajili yako na wenzako kama wewe. Unakuta mwanamke analalamika ooh jamaa hanijali yani mwanaume malaya huyu. Nyie watu kila kitu kina gharama zake mjue mwanaume mwenye pesa obviously wengi hawanaga muda wa kugandana na wapenzi coz wanawake wengi wanawahitaji.
Choose wisely, unataka furaha ya mapenzi au pesa? Epuka kulia lia mbeleni na kuita watu majina mabaya bila sababu maana vyote kuvipata pamoja ni ishu.
You women have choices to make in life mjue.
Unahitaji jamaa awe ana cling to you kama hereni na sikio kila mahali upo naye, he gives you all his time of the day akupe nafasi full. Anakudrive mnaenda site pamoja, shopping ama biasharani pamoja. Raha ilioje? Ina gharama zake hii! The man has no activity ya kujitaftia obviously so utajikuta unachopata wewe ndio mnashea it might make you happy or sad as well.
WHILE,
Unakuta jamaa mwengine yupo extremely busy, mtu wa mishe kibao hivi, anasafiri safiri labda. Yuko on a very demanding routine ya kazi. Ndio mshakuwa wapenzi au mke na mume ila hana muda na wewe kabisa ila uhakika wa mipunga upo kwa ajili yako na wenzako kama wewe. Unakuta mwanamke analalamika ooh jamaa hanijali yani mwanaume malaya huyu. Nyie watu kila kitu kina gharama zake mjue mwanaume mwenye pesa obviously wengi hawanaga muda wa kugandana na wapenzi coz wanawake wengi wanawahitaji.
Choose wisely, unataka furaha ya mapenzi au pesa? Epuka kulia lia mbeleni na kuita watu majina mabaya bila sababu maana vyote kuvipata pamoja ni ishu.