Waraka wa siri kwa wana Igunga

<br />
<br />
wewe kweli kilaz*,hata kuwa kwako nje na unyamwez wako bado havijakukomboa,suala si kuwa mgao umeisha au la,issue ni kwamba richmond ilikua ni wizi,ukisema umeme uko wapi una maana gan???so ulitaka richmond iendelee,au ulikua ukilipiwa vijiada na richmond,wana igunga ni maskin tu na igunga yao,wao wapo tanzania ujue kila kadhia ina wakuta,sasa rostam ametajwa mara ngapi kwenye KAGODA?????taarifa ya richmond mbona imemtaja,acha upopompo
 
<br />
<br />
hao wanaomtetea ros-ham wooote mafedhuli,,,,,,,hata kama ni ubaguzi,basi watanzania haijafika wakat wa kuwakilishwa na MAPONJORO,nasema hili dhahiri,kwa sababu mbona watanzania weeengi tuuu wanaweza kutuwakilisha,hawa wakiingia kwenye siasa ndio hufanya hayo wanayoyafanya,i hate these people,lakin pamoja na hayo hawa jamaa hawana uchungu na sisi,,,,,,,sasa huyu anaemtetea ROST-HAM ndo simuelewi
 
<br />
<br />

Igunga haiwezi kuwa wilaya inayoongoza kimaendeleo. Labda kama unailinganisha na Bahi
 
 
ufisadi wa Rostam upo wapi? au ni chuki mliyopandikiziwa!

Je, wewe ni mmoja wa waliozimia ukumbini pale Igunga wakati Rostam alipotangaza kuchia ngazi nyazifa zote ndani ya CCM na ubunge?
 
Usifanye Kampeni muda bado na usiwasumbue watu wa Igunga![/QUOTE]<br />
<br />
nikweli anafanya kampeni tena ya kishamba. Ina maana hata sisiem wakisimamisha mtu safi wana Igunga wasimpe kura
 
Inaelekea huko nje unaosha vyombo tu. Umezamia, sasa unashindwa kurudi nyumbani kwani utakosa cha kufanya. Vichwa vya aina yako hata hapa Tanzania havitufai!
<br />
<br />
wee utakua una matatizo. . .kumumiza mwenzako kisaikolojia ni dalili pia za matatizo ya kisaikolojia uliyonayo. .is not gud to hurt others twende kwenye hoja!. .
 
You have said it all mkuu wangu nangojea majibu sahihi toka kwa watetezi wa RA safi sana ,
<br />
<br />
kisaikolojia matatizo yanapokua mengi kila kukicha maisha yanakua magumu watu wanaposhindwa kuicontrol nature au situation hufukiri kua ther is a supernatural somwher that can solve this. .pia watu hufikir kuna source of all this chaos ndipo hufikiria uchawi na laana. .nachotak kusema ni matatizo tuliyonayo yanatuelekeza isivyo eti mchawi wa maendeleo yetu ni rostam au lowasa. .tunafail sana!
 

Nasikitika sana kuwa na uhusiano wa ktaifa na mtu kama wewe.....anyway hii yote inathibitisha kuwa bado tunasafari ndefu sana ya kuleta mabadiliko ya kifikra nchini. Thanks God upo nje ya nchi upupu wako na ubaki huko huko. YOUR REACTING POLITICALLY INSTEAD OF THINKING. Sina haja ya kupoteza muda kukuelewesha, kabla ya kusema kitu ebu jiulize umeifanyia nini nchi yako kwa kukaa kwako nje ya nchi? sisi ndio tunafeel machungu na matatizo tunayokumbana nayo kila siku, unauliza eti alichukua hela za mama yangu kweli wewe hamnazo***&$! hujui kuwa pesa iliyochukuliwa ni ya mama yako na bibi yako pia?^&*(>>!@**^@
 
QUOTE=mzee wa mawe;2330790]ufisadi wa Rostam upo wapi? au ni chuki mliyopandikiziwa![/QUOTE]<br />
<br />
Wenye chama chake na wenye vyombo vyote vya ufuatiliaji na upelelezi wamesema wewe ni nani
hadi umtetee?
 

Hawawezi kuchagua tofauti na CCM , vyama vingine havina rungu zaidi ya kupiga kelele na kutokuwepo na mwelekeo
 

Hapo kwenye red....kwa hiyo hivi sasa wilaya ya Igunga inaizidi hata wilaya ya Kinondoni??!!!!
 
Tukisherehekea miaka 50 ya marehemu Tanganyika, hivi ni kweli maendeleo duni ya TZ yamesababishwa na hawa watu watatu (CLR)? Hawa wameibuka hivi karibuni huko nyuma ilikuwa sababu nini au nani kasababisha?
 
Hapo kwenye red....kwa hiyo hivi sasa wilaya ya Igunga inaizidi hata wilaya ya Kinondoni??!!!!
<br />
<br />
hahahahaaaaa,,,,,,,,maswali mengine jama msiwe mnauliza,maana hata PINDA hana takwimu,,,,,,,heheheheee IGUNGAAAAAAA,kuna traffic jam???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…