frank nyantu2
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 298
- 162
Sijawahi kukasirika nikawa na kichefuchefu kama Nina mimba vile!! Aiseee!!! Teinaaa!! Aiseeee! Anasemajee!!
hivi si sahihih kusema nchi ya viwanda italetwa kwa kutumia michango yetu sisi wavuja jasho wa nchi hii huku nikufilisika na kukosa dira na maono, haiwezekani mfanyakazi aliye na ajira isiyo na uhakika akaja achishwa kazi kabla umri wa kustaafu eti asubiri huku ni kumnyima haki. Ndo maana tunasema wabunge kama hawa hawapo kwa maslahi mapana ya nchi hii watuachie hela zilizoko huko kwenye mifuko hiyo siyo za serikali. Huyu Kingu wenzie aliokuwa nao kama ma-DC awamu iliyopita na kutemwa na awamu hii ya tano wengine hakuwa wamefisha umri wa kustaafu lakini wanachukuwa mafao/kiinua mgongo yao, Mh Kingu naamini ungeukosa huo ubunge na kisha kutemwa ukuu wa wilaya je ungesubiri kinuanua mgongo mpaka ufikishe umri wa miaka 60 upo hapo ukitaraji kupata kiinua mgongo cha ubunge je ni sahihi wazo hili au ukaletwa mswaada mbele yenu unaotaka mbunge asilipwe kinua mgongo mpaka pale itakapothibika kuu ukosa ubunge aliokuwa nao ndipo apewe, na hiyo ndo maana kinua mgongo. Naamini ungepinga kwa kwa nguvu zako zote na hapo ndipo utakapokuja amini kuwa siasa ndo maisha ya kila siku kwani siasa na wana siasa hujenga na kuamua mustakabali wa nchi hii. Ama kweli CCM ya leo imekuwa siyo mtetezi tena wa mfanyakazi huku nikupoteza misingi iliyo asisi chama cha TANU naWabunge wa CCM Tusiyumbe.
Nimeanza kwa Wabunge wa CCM kwa sababu kubwa kwanza sisi chama chetu ndicho kilicho na dhamana ya kuwaongoza watu wa nchi hii.
Lobbing zimeanza za Makampuni makubwa ya Migodi kupinga sheria ya Fao la kujitoa.makampuni binafsi nayo yataanza soon kupinga uamuzi huu kwa maslahi ya wachache Maslahi yasiyozingatia maono ya nchi na Usalama wa Taifa.Maslahi yanayoangalia siasa za muda za kuwafurahisha wanaharakati huku taifa likikosa nguvu ya kiuchumi.
Nawatahadharisha wabunge wote na hasa wa Chama changu CCM,tuwe makini na kila move hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli amekuja na mwanga juu ya hatma ya viwanda vya nchi hii;Magufuli ameamua nchi iwe ya viwanda kupitia Mifuko hii ya kijamii,Lakini naona mapandikizo yakutaka kuidhoofisha mifuko hii,Mipango hii wanajua wanaoiratibu nia yao lakini wabunge wenzangu na wana CCM fao lakujitoa ni miongoni mwa mipango ovu ya kutaka kumdhoofisha Rais Magufuli na kudhoofisha mapato ya mifuko hii iliyoelekezwa kusimamia mageuzi ya viwanda nchini.
Kwanini watanzania kila jambo tuliwekee siasa?Uimara wa mifuko.ya kijamii popote duniani ndio kiini cha Usalama wa Taifa,Usalama.wa nchi katika kila nyanja iwe ya dharura za kiulinzi au kukuza uchumi hii ni roho ya nchi hasa nchi Hizi zinazoendelea.
Tuwe makini sana juu ya hawa wanaotaka kuturudisha nyuma.Rais anadira ya viwanda,Mifuko hii imepewa jukumu hili kwanini tuanze kutaka kuwadhoofisha.Kwa haraka haraka NSSF wanaweza kuokoa karibu biln 60 pesa ambazo kwa nchi changa kama hii zikiwekezwa kwa busara na uzalendo zinalifanya taifa lipae kiuchumi.
Watanzania tuache siasa pesa hizi ni za watanzania wakifikisha umri unaostahili watalipwa nchi hii lazima itangulize maslahi ya wengi kwa faida ya vizazi,tuache harakati na siasa za kutaka sifa kwa mambo mazito yanayogusa ustawi na usalama wa nchi.
Tuache mifuko ikusanye pesa a kuwekeza kwenye viwanda .Tuache ubinafsi kwa faida ya vizazi vinavyokuja.
Kingu Elibariki
MP Singida West
Hatari lakini salama. Antafuta kupendwa wakati wananchi Wa jimbo lake wamempenda na kumpa Ubunge! Anatamani awe waziri. Serengeti boys Wa UVCCM walisha rogwa zamani wote wanafanana.Na huyu ndio Mbunge anayejinasibu kwamba ni "Mpendwa ktk Kristo".....Hawa ndio walokole feki waliojivika kanzu la siasa....Unafiki mpaka katikati ya miguu
Hivi wewe ni binaadam kweliSafisaanaa kingu hawanyumbu hawawezi atakidogo kutuyumbisha kimapato wao na Maukuta Yao hukohukoo polin kwa wanywavirobaaa
Hawa wabunge viazi sijui huwa wanawaza nini?Kingu, sio kazi ya nssf kujenga viwanda, kazi hiyo ni ya NDC na TIRDO, na kazi ya kufinance hivyo viwanda ni ya TIB na sio ya nssf,