Hauna shida unasomwa tu ambao hawana TV wala smartphone wausikiekwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
kesho ni siku nzuri sana kwa mstakabali wa nchi yetuh
hivi ji lini TEC wataanda waraka wa kupinga USHOGA?Safi
Hata ungesomwa Kila familia ni kupoteza muda tu nyie walevi na wazinzi hamna Cha maanaSerikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Ndio nawashangaa walevi hawakwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
Tulia Tu Utaona Taratibu Mambo Ni Fire 🔥 Mambo Ni Motokwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
Nchi hii co yakikatoliki na Wala Safari hii hamtasikilizwa maoni yetu yatatupwa kwenye DustbinSerikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Kazi Imekuwa Ngumu Kanisa Limekoroga Ndonyahahahahahahahah Kwa hiyo camilius wambura,chalamila,kitila itabidi wake mbeleeee
Islam DiniN
Nchi hii co yakikatoliki na Wala Safari hii hamtasikilizwa maoni yetu yatatupwa kwenye Dustbin
Watu Wamepatwa ButwaaHayo ni maandamano makubwa ambayo haya hitaji kibali cha polis hahaah