Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Achana naye huyo ni mmoja wa hatres wa Slaa kwa vile baba yake alitajwa kwenye list no.2 ya mafisadiHuna haja ya kushangaa, ilibidi ujishangae wewe, maendeleo yamedidimizwa na unachokitetea na unao wakumbatia. Hata mitume walikataliwa na waliokumbatia dhambi. Mahakama ni za serikali ya CCM, Dr Slaa aliwaita wote mafisadi mkuu wa nchi akiwa mmoja wapo, kama kweli ni wasafi si wangejisafisha au wangetumia dege la jeshi kumpeleka maweni? Tinga tinga mwenyewe aliitwa fisadi akaogopa hata waandishi wa habari.
Umpende uumchukie Dr. Slaa ni kiboko yenu, anawakera sana. Na kazi ndio inaanza. Tupo nyuma yake wenye nchi. Dr. hamlipui mtu anasema ukweli. Anafundisha jamii, anatahadharisha jamii, na jamii inamwelewa. Huwezi kumwelewa Dr wewe kwanza huijui Tanzania, unaisoma kwenye magazeti. Njoo manyoni, uyole, tunduma, isaka, mbarali, MMbwe, msata, ikwizu, meru, longodo, Mwanga, Manzese nk utajua kazi ya Dr. wa ukweli.
Serikali ilioongozwa na wazee wenu ndio imedumaza maendeleo mpaka ya elimu ya watanzania halafu leo mnawakashifu. Ngoja waamshwe.
anapambana na Slaa kwa laptop tena kwenye treni (Boston to NYC) hahaha.