Waraka kwa Yahya wa StarTV

Waraka kwa Yahya wa StarTV

mnafanya vizuri lakini BADOOOOO SAAAAANA katika kutufikisha tunapotka
1.tuanze na mtu wenu wa 'webmaster" tazama hapa picha za transition zilizopo ni za march 23,2012. kisha tazama wenzetu ambao unatazama matangazo yao LIVE via net,mnashiundwa nini,mbona kila kitu kipo.japo kwenda live via net kwa dk 45 za news bulletin mnashindwa jamani.mnashindwa wapi,sema tutoe maoni ebu ona wenzenu TAZAMA MATANGAZO YA TV LIVE HAPA

website ya Star tv hasina hata clip moja ya news ya juzi,jana,leo wala nini

2.mnafanya mabadiliko ya mara kwa mara katika studio yenu ya news(mkitumia virtual studio) hii ni njema lakini too much

nitarejea,nimeitwa
 
mnafanya vizuri lakini BADOOOOO SAAAAANA katika kutufikisha tunapotka
1.tuanze na mtu wenu wa 'webmaster" tazama hapa picha za transition zilizopo ni za march 23,2012. kisha tazama wenzetu ambao unatazama matangazo yao LIVE via net,mnashiundwa nini,mbona kila kitu kipo.japo kwenda live via net kwa dk 45 za news bulletin mnashindwa jamani.mnashindwa wapi,sema tutoe maoni ebu ona wenzenu TAZAMA MATANGAZO YA TV LIVE HAPA

website ya Star tv hasina hata clip moja ya news ya juzi,jana,leo wala nini

2.mnafanya mabadiliko ya mara kwa mara katika studio yenu ya news(mkitumia virtual studio) hii ni njema lakini too much

nitarejea,nimeitwa


kuwa na web inayopata habari mpya ni wazo zuri sana, ila pia sidhani kama hiyo ni njia yao ya msingi kufikisha news, unaweza kutofautisha chombo kama redio au tv na mtu kama shigongo, wakati starTV ni video na sauti hawa wengine ni print media, hawa wawili wakiitazama web lazima wataipa uzito tofauti! hizo ni njia mbadala ya kujitangaza na kufikia watu wengi zaidi, mto hoja hapa analenga content inayoletwa, hata kama starTV wangekea wanafika mkoa mmoja tu, lakini content iweje hiyo ndio ilikua hoja
 
Back
Top Bottom