Waraka kwa rais Kikwete

Nakushukuru sana,
Kwanza inaelekea mwenzetu hujui kazi ya serikali. Sikutegemea kusikia maneno kama hayo kutoka kwako.

Kwahiyo inamaanisha kuanzia sasa hivi waTanzania tuanze kujihudumia wenyewe sio??? Mimi nakupa option mbili

Ya kwanza, naomba mwambie Raisi na serikali yake waache kukusanya kodi zetu. Ili tujikusanyie pesa sisi wananchi wenyewe. Tujijengee visima na kuboresha huduma zetu. nina hakika hivyo visima tutajenge bila kigugumizi.

Kwasababu tuna shida, nina uhakika
tukijichangisha tunaweza fanya jambo la maana. Kuliko kuichangia serikali. Ili wao wasafiri na kutalii kila kukicha.

Option ya pili mwaambie waache kusimamia rasili mali zetu. Kila mtu atumie ardhi yake kwa manufaa yake mwenyewe. Wazungu watolewe kule Barick. Na wakurya warudishiwa ardhi yao.

Kazi ya serikali ni nini? hebu tuambie maana nahisi we mwenzangu ndio hata maana ya serikali inakusumbua.

Unataka kunambia rais Kennedy alivyowaambia wananchi wake kwamba wafikirie wataifanyia nini marekani alikuwa hajui anachokisema?

Matatizo ya nchi hayaletwi na viongozi ni watu kama wewe wanaokaa lawama tu kila kukicha.
 
Anasubiri kitu gani??
Hapo hamna cha kusubiri.... mpaka sasa nchi iko ICU... Labda niseme jamaa amekata tamaa, anasubiri muda wake upite.

"He has to be a leader and not a ruler."
Kama alikubali kuwa raisi, kwanini nchi imshinde???

Yaani kwa hilo wala siwezi kubisha, kinachoendelea sasa ni kujaribu kutafuta nani wa kumkabidhi hii nchi ili yeye apumzike kwa amani. Kuhusu kuleta mabadiriko sioni kiongozi kati ya walipo sasa madarakani mwenye nia thabiti ya hilo.Wote wako kwenye kuangalia itakuwaje after 2015, baada ya Kikwete kuondoka!
 
Kazi ya serikali ni nini? hebu tuambie maana nahisi we mwenzangu ndio hata maana ya serikali inakusumbua.

Unataka kunambia rais Kennedy alivyowaambia wananchi wake kwamba wafikirie wataifanyia nini marekani alikuwa hajui anachokisema?

Matatizo ya nchi hayaletwi na viongozi ni watu kama wewe wanaokaa lawama tu kila kukicha.

Kwahiyo unataka kuniambia baada ya Kenedy kusema hivyo . Marekani kila mtu akawa anajichimbia kisima. Au unataka kuniambia kila mtu akawa anajijengea barabara.

Hahaha, msikae mnawadanganya waTanzania ambao hawana ELIMU kwa huu upuuzi.
 
Nadhani hata wewe huna dira! Kipaumbele chako hapa ni nini?

Umeorodhesha kila kitu, hujaeleza kianze kipi na kipi tumalizie! Be specific na siyo kumwaga utumbo hapa! Kuna tofauti gani kati ya ulichokiandika na kinachotekelezwa sasa!

Toa ushauri unaotekelezeka kwa mfano 40% ya bajeti iende kutengeneza miundombinu na 60% iliyobaki iende kuendesha shughuli za kawaida za serikali na kuendeleza vilivyopo tayari.

Kwa hiyo swala muhimu hapa ni wananchi waulizwe kipaumbele chao hivi sasa ni nini na kitekelezwa kwa muda gani!
 
Nadhani hata wewe huna dira! Kipaumbele chako hapa ni nini?

Umeorodhesha kila kitu, hujaeleza kianze kipi na kipi tumalizie! Be specific na siyo kumwaga utumbo hapa! Kuna tofauti gani kati ya ulichokiandika na kinachotekelezwa sasa!

Toa ushauri unaotekelezeka kwa mfano 40% ya bajeti iende kutengeneza miundombinu na 60% iliyobaki iende kuendesha shughuli za kawaida za serikali na kuendeleza vilivyopo tayari.

Kwa hiyo swala muhimu hapa ni wananchi waulizwe kipaumbele chao hivi sasa ni nini na kitekelezwa kwa muda gani!

Ndugu yangu, hayo mambo ya 40% yaende kwenye maendeleo na 60% kwenye matumizi ya kawaida ndo yanazalisha ufisadi.

Kama una muda jifunze bajeti za nchi zinazoendelea kwa kasi kama India, na China. Hamna hayo mambo ya ubabaishaji. Ningependa tujifunze kutoka uko.

Mimi kama umenielewa nimetoa sector nne. ELIMU, Security, miundo mbinu na umeme. Hatuhitaji mambo ya % hapo. Hizo percent ndo ufisadi wenyewe
 
Ndugu yangu, hayo mambo ya 40% yaende kwenye maendeleo na 60% kwenye matumizi ya kawaida ndo yanazalisha ufisadi.

Kama una muda jifunze bajeti za nchi zinazoendelea kwa kasi kama India, na China. Hamna hayo mambo ya ubabaishaji. Ningependa tujifunze kutoka uko.

Mimi kama umenielewa nimetoa sector nne. ELIMU, Security, miundo mbinu na umeme. Hatuhitaji mambo ya % hapo. Hizo percent ndo ufisadi wenyewe

Ebo kama hujui utatumiaje fedha katika kila sekta utajitathimini namna gani? Hicho unachokipendekeza ndiyo ufisadi wenyewe.

Kwa hiyo kupanga bajeti na wananchi wakapewa muda wa kuangalia uhalisi wake ni muhimu katika kujua hatima ya matumizi yake! Na tambua hapa hakuna cha China wala India.
 
Hata Marekani raisi anabeba lawama zote. Kwa sababu zifuatazo

1) Anapewa mshahara mkubwa, na mahitaji yote ya muhimu ili kuongoza wananchi. Na sio swala la kila mwananchi kijichimbia kisima au kupeleka dawa hospitalini.

Kama ni hivyo, wananchi wasitoe kodi(tax) yoyote. Na kila mtu ajitegemee kutokana na pesa yake.

Ndugu zangu, hapa sisi sio tunababwaja. And it seems huelewi kazi ya serikali wewe. Serikali yoyote haitegemei mtu mmoja kujenga kisama wala kununua dawa. That why wanakusanya kodi. Kama kutumia kodi zetu vizuri hawawezi, tunaomba waache madaraka.

Na kule shinyanga na mwanza. Waache wasukuma wachimbe madini yao wanavyoweza.

Ndo maanaa nakuambia uje huku uone uhondo wa ngoma
1. Brown - hiii huku kwa mwenye macho ishaanza kama mfuko wako mwembamba maisha yako hatarini anytime as social welfare kwa sasa ni jukumu la mwananchi......ask bot Muhimbili Saga n compare wth private health firms

2. Blue - Kodi ipi unayozungumzia hapa na wewe kodi yako unachangia huko kwa mama wa kambo???

3. NAUJUA wajibu wa serikali ni kumtumikia mwananchi na mwananchi kuiwajibisha serikali baada ya kukamilisha majukumu alopewa na serikali husika. Sasa wewe majukumu yako umeyaacha huku na kutekeleza ya watu wa ughaibuni halafu unataka kuiwajibisha serikali yetu.......are yu up to ur senses??????...Iwajibishe ya huko unayoitumikia na kuchangia kodi.

4. Yu people of Diaspora mjue watu mnaozungumza nao oftenly sio sisi mnaotukuta huku.....huku tuna mambo yetu yanayotuunganisha..... hapa sio porojo za kuishi nje kuitumikia Tanzania (double-line) na maneno matamu kama mwanamazingaombwe anageuza jiwe kuwa pipi.......this is not a rehearsal...it is real n real is the one you live....yu dont live the pain we ar talking about.....you just dont get your nerves scratched with the damn inflation.............we are living the experience and thus we know better.....n if you are as real as you claim to be...pack yo bags n wellcome home


 
Kama maendeleo ya nchi yako yanakugusa sana si ungeenda huko Tandahimba ukawachimbie jambo kisima kimoja kirefu?? umefanya nini kwa nchi yako?

Au kila mtanzania akae kwenye computer yake aandike waraka kwa rais? wabongo bana

Hacha kuwa na akili fupi na mawazo mgando.
Hii ni 21st century, zungumzia maji ya bomba na sio mambo ya visima, hata wananchi wa Tandaimba wana deserve kupata maji ya bomba, salama na yakuaminika.
 
Kazi ya serikali ni nini? hebu tuambie maana nahisi we mwenzangu ndio hata maana ya serikali inakusumbua.

Unataka kunambia rais Kennedy alivyowaambia wananchi wake kwamba wafikirie wataifanyia nini marekani alikuwa hajui anachokisema?

Matatizo ya nchi hayaletwi na viongozi ni watu kama wewe wanaokaa lawama tu kila kukicha.

Tuliza kichwa kabla ya kuweka post yako.
Serikali yako ya ccm ndo inatakiwa iwe ya kwanza kubeba lawama za watz kwa wao kushindwa kutimiza majukumu yake.
Kama TRA wanakusanya kodi hadi wanavuka malengo, hizo ela zinaenda wapi?
Wananchi wanatimiza wajibu wao kwa magnitude kubwa sana, ila serikali ya majambazi ndo inawaangusha.
President Kennedy alikuwa serious na nchi yake tofauti na huyu chekacheka.
Kwa mtu mwenye akili timamu, aimuingii akilini kwa kikwete kuwa safarini almost everyday, hivi nini kinamuwasha? Kwa nini awezi kutulia chini na kutatua matatizo ya watz.
Pia, ameacha zile hotuba za kila mwezi, alizoiga kutoka kwa Ben coz hana cha kuongea.
 
Nadhani hata wewe huna dira! Kipaumbele chako hapa ni nini?

Umeorodhesha kila kitu, hujaeleza kianze kipi na kipi tumalizie! Be specific na siyo kumwaga utumbo hapa! Kuna tofauti gani kati ya ulichokiandika na kinachotekelezwa sasa!

Toa ushauri unaotekelezeka kwa mfano 40% ya bajeti iende kutengeneza miundombinu na 60% iliyobaki iende kuendesha shughuli za kawaida za serikali na kuendeleza vilivyopo tayari.

Kwa hiyo swala muhimu hapa ni wananchi waulizwe kipaumbele chao hivi sasa ni nini na kitekelezwa kwa muda gani!

Mkuu hiyo system ya 40% elimu au 10% ulinzi, imesha prove failure kwani ni system ambayo inatumika since 1961. Dunia imebadilika sana, economic systems zimebadilika sana, lkn viongozi wetu wamebaki na mi-system yao ya miaka 47.
Kwa mfano, Juzi kwenye maazimisho ya miaka 50, eti makomandoo wa kibongo wanaonyesha ukomandoo wao kwa kuvunja tofali kwa kichwa, haya mambo ya kishamba yameshapita.
 
Tuliza kichwa kabla ya kuweka post yako.
Serikali yako ya ccm ndo inatakiwa iwe ya kwanza kubeba lawama za watz kwa wao kushindwa kutimiza majukumu yake.
Kama TRA wanakusanya kodi hadi wanavuka malengo, hizo ela zinaenda wapi?
Wananchi wanatimiza wajibu wao kwa magnitude kubwa sana, ila serikali ya majambazi ndo inawaangusha.
President Kennedy alikuwa serious na nchi yake tofauti na huyu chekacheka.
Kwa mtu mwenye akili timamu, aimuingii akilini kwa kikwete kuwa safarini almost everyday, hivi nini kinamuwasha? Kwa nini awezi kutulia chini na kutatua matatizo ya watz.
Pia, ameacha zile hotuba za kila mwezi, alizoiga kutoka kwa Ben coz hana cha kuongea.

Umeongea vizuri kaka... Bravo
 
Back
Top Bottom