arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
punguza kuipenda msihi huyu dada arudi kwa mumewe na wewe utulie na mkeo.......
Nishamjua unayemsema................................Darling....... tulifahamiana kupitia mtu niliyefahamiana naye kupitia humu mmu,hivyo kupitia ukurasa huu nichukue fursa hii kukupa pole sana kwa ndoa yako kuvunjika na kwa maumivu ya mwili unayougulia.Kwa kweli najisikia vibaya sana kwa tukio hili na ninakuahidi kusimama bega kwa bega na wewe katika kipindi hiki kigumu sana katika maisha yako.Kilichotokea kwa kweli lilikuwa ni jambo la bahati mbaya sana na sikutaraji penzi letu ligundulike kwa mmeo.Mimi na wewe tungejuaje kuwa kipande cha pakiti ya kitendea kazi kingeganda mgongoni mwako hadi hadi kupelekea uliporudi nyumbani mmeo akione wakati unajiandaa uingie bafuni? it was indeed a freak accident.Ghadhabu ya mmeo iliyompelekea akupige hadi ulazwe na kisha akuletee talaka yako wodini naielewa,kikubwa bora uzima.
Pamoja na kwamba hali hairuhusu mimi na wewe kuoana lakini naahidi kukusaidia uweze kusimamia miguu yako mwenyewe,kwanza tugange maumivu.
I still love you,
Bishanga Abashaija.
Mbona umetumia lafudhi ya kipemba kama unamtongoza............? Nafuatilia sana nyendo zake huyu binti, ole wako nikusikie!marhaba,hujambo binti Mtambuzi? mbona hunipi pole?
sasa ndugu yangu ukifika nyumbani wakati wa kuchojoa unazima taa au unamwambia mwenza afunge macho.
mi naona tunajivuliaga tu na likitokea la kutokea kama hili ndo basi tena.
Darling....... tulifahamiana kupitia mtu niliyefahamiana naye kupitia humu mmu,hivyo kupitia ukurasa huu nichukue fursa hii kukupa pole sana kwa ndoa yako kuvunjika na kwa maumivu ya mwili unayougulia.Kwa kweli najisikia vibaya sana kwa tukio hili na ninakuahidi kusimama bega kwa bega na wewe katika kipindi hiki kigumu sana katika maisha yako.Kilichotokea kwa kweli lilikuwa ni jambo la bahati mbaya sana na sikutaraji penzi letu ligundulike kwa mmeo.Mimi na wewe tungejuaje kuwa kipande cha pakiti ya kitendea kazi kingeganda mgongoni mwako hadi hadi kupelekea uliporudi nyumbani mmeo akione wakati unajiandaa uingie bafuni? it was indeed a freak accident.Ghadhabu ya mmeo iliyompelekea akupige hadi ulazwe na kisha akuletee talaka yako wodini naielewa,kikubwa bora uzima.
Pamoja na kwamba hali hairuhusu mimi na wewe kuoana lakini naahidi kukusaidia uweze kusimamia miguu yako mwenyewe,kwanza tugange maumivu.
I still love you,
Bishanga Abashaija.
mkuu DC embu tusemezana kiutu uzima,maisha yako yote hujawahi kugusa mke watu asilani?
Perfect!!
Hayo ndiyo yanayotokea mara nyingi kwenye infidelity.... kutokana na mfumo dume, women are bound to lose
Bishanga kabwaga manyanga, mama kaambulia kipigo, kitombo na talaka
INGAWA NI STORY LAKINI SHULE YAKE NI KUBWA MNO KWA JAMII
Mmewe hata kutumia kompyuta hajui,usikonde mkuu.Nishamjua unayemsema................................
We ngoja mumewe apite humu, na mida yake ya kuchungulia JF-MMU ni usiku akirudi kazini................Akiukuta huu uzi...............! Kesho tutasema RIP Baishanger......................LOL
Kama unajua wewe ni casualty, huwezi kubehave kama mtu mzima. Vinginevyo unakaribisha vita isiyo ya lazima kama mlivyofanya hapo!!