Waraka kwa mke wa mtu (ex)

Jamani tuacheni haya mambo,kama mtu ameshaolewa/kuoa awe sumu, na sisi tusaidie ndoa zisimame na si kushiriki katika kuzivunja, this thread may be a joke but for sure hiki kitu kinatesa ndoa nyingi, ni shetani chronic sana huyu katika ndoa na maisha kwa ujumla......tujiheshimu jamani, kama hutaki kuoa/kuolewa tafuta njia nyingine kukidhi haja yako na si wake/waume za watu,however much you jump around hakuna jipya DUDE, ishi maisha matakatifu na uyafurahie!!:target:
 
Darling....... tulifahamiana kupitia mtu niliyefahamiana naye kupitia humu mmu,hivyo kupitia ukurasa huu nichukue fursa hii kukupa pole sana kwa ndoa yako kuvunjika na kwa maumivu ya mwili unayougulia.Kwa kweli najisikia vibaya sana kwa tukio hili na ninakuahidi kusimama bega kwa bega na wewe katika kipindi hiki kigumu sana katika maisha yako.Kilichotokea kwa kweli lilikuwa ni jambo la bahati mbaya sana na sikutaraji penzi letu ligundulike kwa mmeo.Mimi na wewe tungejuaje kuwa kipande cha pakiti ya kitendea kazi kingeganda mgongoni mwako hadi hadi kupelekea uliporudi nyumbani mmeo akione wakati unajiandaa uingie bafuni? it was indeed a freak accident.Ghadhabu ya mmeo iliyompelekea akupige hadi ulazwe na kisha akuletee talaka yako wodini naielewa,kikubwa bora uzima.
Pamoja na kwamba hali hairuhusu mimi na wewe kuoana lakini naahidi kukusaidia uweze kusimamia miguu yako mwenyewe,kwanza tugange maumivu.
I still love you,
Bishanga Abashaija.
Nishamjua unayemsema................................
We ngoja mumewe apite humu, na mida yake ya kuchungulia JF-MMU ni usiku akirudi kazini................Akiukuta huu uzi...............! Kesho tutasema RIP Baishanger......................LOL
 
sasa ndugu yangu ukifika nyumbani wakati wa kuchojoa unazima taa au unamwambia mwenza afunge macho.
mi naona tunajivuliaga tu na likitokea la kutokea kama hili ndo basi tena.

Kama unajua wewe ni casualty, huwezi kubehave kama mtu mzima. Vinginevyo unakaribisha vita isiyo ya lazima kama mlivyofanya hapo!!
 
Darling....... tulifahamiana kupitia mtu niliyefahamiana naye kupitia humu mmu,hivyo kupitia ukurasa huu nichukue fursa hii kukupa pole sana kwa ndoa yako kuvunjika na kwa maumivu ya mwili unayougulia.Kwa kweli najisikia vibaya sana kwa tukio hili na ninakuahidi kusimama bega kwa bega na wewe katika kipindi hiki kigumu sana katika maisha yako.Kilichotokea kwa kweli lilikuwa ni jambo la bahati mbaya sana na sikutaraji penzi letu ligundulike kwa mmeo.Mimi na wewe tungejuaje kuwa kipande cha pakiti ya kitendea kazi kingeganda mgongoni mwako hadi hadi kupelekea uliporudi nyumbani mmeo akione wakati unajiandaa uingie bafuni? it was indeed a freak accident.Ghadhabu ya mmeo iliyompelekea akupige hadi ulazwe na kisha akuletee talaka yako wodini naielewa,kikubwa bora uzima.
Pamoja na kwamba hali hairuhusu mimi na wewe kuoana lakini naahidi kukusaidia uweze kusimamia miguu yako mwenyewe,kwanza tugange maumivu.
I still love you,
Bishanga Abashaija.

Perfect!!

Hayo ndiyo yanayotokea mara nyingi kwenye infidelity.... kutokana na mfumo dume, women are bound to lose

Bishanga kabwaga manyanga, mama kaambulia kipigo, kitombo na talaka

INGAWA NI STORY LAKINI SHULE YAKE NI KUBWA MNO KWA JAMII
 
Perfect!!

Hayo ndiyo yanayotokea mara nyingi kwenye infidelity.... kutokana na mfumo dume, women are bound to lose

Bishanga kabwaga manyanga, mama kaambulia kipigo, kitombo na talaka

INGAWA NI STORY LAKINI SHULE YAKE NI KUBWA MNO KWA JAMII

Kweli mkuu,

Nilishawambia hapa jamvini, kuwa cheating is gender sensitive...Hakuna equity kwenye cheating na siku zote wanawake wanabeba mzigo mkubwa...

Laiti wangeyajua hayo!!

Babu DC!!
 
Nishamjua unayemsema................................
We ngoja mumewe apite humu, na mida yake ya kuchungulia JF-MMU ni usiku akirudi kazini................Akiukuta huu uzi...............! Kesho tutasema RIP Baishanger......................LOL
Mmewe hata kutumia kompyuta hajui,usikonde mkuu.
 
Kama unajua wewe ni casualty, huwezi kubehave kama mtu mzima. Vinginevyo unakaribisha vita isiyo ya lazima kama mlivyofanya hapo!!

Anayetembea nje ya ndoa akirudi nyumbani general rule huwa ni behave casual vinginevyo utashtukiwa,kama huwa unavua mbele ya mwenzio inabidi ufanye hivo hivo.
 
Back
Top Bottom