Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
wapwaaz nimewamiss sana aisee.....!
mi naona TUKUTANE TU NA KUNYWA POMBE!(mavodka,valuu,viceroy,grants n.k)
mi naona inafaa zaidi
kwanin inafaa zaidi?
-inauma sana kuangalia BUNGE LA KITOTO kama la tanzania
-inauma sana kuangalia ''command theories'' za mh spika
-inauma sana unapowapigia watu kura wao wanaenda mjengoni kufundishana ''kufuta/kurekebisha kauli zao)
-inauma sana lala giza kila siku wakati watu wanaingiza siku kwa posho nono
-inauma sana aisee inauma kuona bwawa la mtera linapongua maji kwa kina cha sm 3 kila siku
-inauma sana kulala giza ariff.....!inauma sana aisee!
-inauma sana kuziangalia inflations za ajabu ajabu(sukari kilo sh 2100,mafuta ya kula lita tano sh 18900/=)
WAPWAZ TUKUTANE TU TUNYWE POMBE wakati tunausubiria umeme
aisee arriff gy,rose1980,asprin,bigirita,synnovate,mwenyeji,finest,st rr,askofu,firstlady,mwanajamiione,pakajimmy,wiselady,fidel80,kizuri,js,ld,kimeywaukwey,mariaroza,baba_enock,dena amsi aisee tukutane aisee....!aisee de novriiino iko wapi arrif aisee?!
AISEE HOMMIE next level,
AISEE MPWAAZ maty,
SIJAWASAHAU WAPWAZ PAMOJA SANA
PARE PARE
mi naona TUKUTANE TU NA KUNYWA POMBE!(mavodka,valuu,viceroy,grants n.k)
mi naona inafaa zaidi
kwanin inafaa zaidi?
-inauma sana kuangalia BUNGE LA KITOTO kama la tanzania
-inauma sana kuangalia ''command theories'' za mh spika
-inauma sana unapowapigia watu kura wao wanaenda mjengoni kufundishana ''kufuta/kurekebisha kauli zao)
-inauma sana lala giza kila siku wakati watu wanaingiza siku kwa posho nono
-inauma sana aisee inauma kuona bwawa la mtera linapongua maji kwa kina cha sm 3 kila siku
-inauma sana kulala giza ariff.....!inauma sana aisee!
-inauma sana kuziangalia inflations za ajabu ajabu(sukari kilo sh 2100,mafuta ya kula lita tano sh 18900/=)
WAPWAZ TUKUTANE TU TUNYWE POMBE wakati tunausubiria umeme
aisee arriff gy,rose1980,asprin,bigirita,synnovate,mwenyeji,finest,st rr,askofu,firstlady,mwanajamiione,pakajimmy,wiselady,fidel80,kizuri,js,ld,kimeywaukwey,mariaroza,baba_enock,dena amsi aisee tukutane aisee....!aisee de novriiino iko wapi arrif aisee?!
AISEE HOMMIE next level,
AISEE MPWAAZ maty,
SIJAWASAHAU WAPWAZ PAMOJA SANA
PARE PARE