Wapumbavu Wenzangu Hamjambo?

Wapumbavu Wenzangu Hamjambo?

katusyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
1,455
Reaction score
434
Ninawasalimia Ni Nanawaombea Uzima Ili Wote Tuifikie 25 October Tukiwa Wazima
 
Hatujambo Mkuu ... kichinjio unacho ? Lodilofa kashaelekea kibla ...
 
KWANINI USIITWE MPUMBAVU; KACHUKUA PESA KAAMA JIMBO

MAFAO YA KUSTAAFU 280 MILIONI

Mkapa u right


attachment.php
 
Waerevu wa obay,masaki nk kuna siku wataonja ulofa wetu huku uswazi.Mungu Ni wetu sote.Tuombe tuwe hai Oct.25
 
Hatujambo kamanda,Naona malofa huku tutazidi tu kuonhezeeka na uzuri ni kwamba wote tunavichinjio. Mabadiliko nje ya ccm ni lazima yafanyike Mwaka huu kwa njia yoyote ile.
 
Hatujambo kamanda,Naona malofa huku tunazidi tu kuongezeeka na uzuri ni kwamba wote tunavichinjio. Mabadiliko nje ya ccm ni lazima yafanyike Mwaka huu kwa njia yoyote ile.
 
Dah, malofa 2po wengi sana. Ukitaka kumuona m2 mzima anajisaidia kwenye poti. Subiri oct 2015
 
Hapa kwetu kata nzima Malofa mkuu, ila oct 25 lofa original atajulikana
 
Kali ya mwaka mgombea wa udiwan tket ya sisiheem ktk kata yetu anasema naye lofa, tumpe kura za udiwan ila urais kwa Lowasa
 
Back
Top Bottom