Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
kumlala mkeo unaenda kutangaza umepata demu?
kweli ccm ni kichwa mwendawazimu.
kweli ccm ni kichwa mwendawazimu.
Uzuri wa CHADEMA ni kwamba wao tayari wamegundua kuwa hawana chao kwenye siasa na kwa sasa wanawekeza kwenye miradi mikubwa mikubwa kama kujenga mahoteli, kumbi za starehe na kuanzisha NGO nchini, ni mkakati mzuri kwa kweli.
Ushahidi;
Hotel - Pretoria hotel ya Mbowe.
Kumbi za starehe - Bilicanas iliboreshwa na kuongeza waburudikaji kwa fedha za CHADEMA.
NGO - IGEHETA ya Dr Slaa na mchumba wake Josephine, mtaji wa NGO hii ulitoka CHADEMA kwa zaidi ya 80%.
MACCM siku hizi yanaishi kwa wasiwasi,hayajiamini hata kidogo!kumlala mkeo unaenda kutangaza umepata demu?
kweli ccm ni kichwa mwendawazimu.
ona aibu basi mkuu madiwani wa CCM walikuwa wangapi na upinzani wangapi?14 kwa 3 alafu ulitaka ushindi?kwanza wapinzani hawakusimamisha mtu katika nafasi yoyote,acha kupotosha na kupotoka ,je mwenyekiti wenu bwana Gwegenyeza amejiuzulu ama la?uchaguzi wa leo ilikuwa sawa na baba amchunguli mama bafuni
Idd leo au kesho? Jana ulisema mwezi umeandama jumbani yako, vineno vyako vya uchochoroni si pake hapa JF.Wapinzani wakusanye nguvu kwanza ndiyo waje kwenye siasa
Vp biashara yenu ya mihadarati? Kina wenu Mr dhaifu.Uzuri wa CHADEMA ni kwamba wao tayari wamegundua kuwa hawana chao kwenye siasa na kwa sasa wanawekeza kwenye miradi mikubwa mikubwa kama kujenga mahoteli, kumbi za starehe na kuanzisha NGO nchini, ni mkakati mzuri kwa kweli.
Ushahidi;
Hotel - Pretoria hotel ya Mbowe.
Kumbi za starehe - Bilicanas iliboreshwa na kuongeza waburudikaji kwa fedha za CHADEMA.
NGO - IGEHETA ya Dr Slaa na mchumba wake Josephine, mtaji wa NGO hii ulitoka CHADEMA kwa zaidi ya 80%.
Nguvu Kama hizo unazotumia Kumbebea wassira?
Wapinzani wakusanye nguvu kwanza ndiyo waje kwenye siasa
Yaani kama enzi za leo badala kutatua matatizo ya mtanzania unakaa mbele computer na hayo ndo unaandika thn we hv got a long way to go!Uzuri wa CHADEMA ni kwamba wao tayari wamegundua kuwa hawana chao kwenye siasa na kwa sasa wanawekeza kwenye miradi mikubwa mikubwa kama kujenga mahoteli, kumbi za starehe na kuanzisha NGO nchini, ni mkakati mzuri kwa kweli.
Ushahidi;
Hotel - Pretoria hotel ya Mbowe.
Kumbi za starehe - Bilicanas iliboreshwa na kuongeza waburudikaji kwa fedha za CHADEMA.
NGO - IGEHETA ya Dr Slaa na mchumba wake Josephine, mtaji wa NGO hii ulitoka CHADEMA kwa zaidi ya 80%.